beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Oyaaaa mbona hatukuoni??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiko wapiii? Bado hamjasema!Leo ndiyo Muajentina Koko atawajua Oya Oya wa Mafurikoni kwa jinsi ambavyo Watamtukana, Watampopoa na hata kumpiga / kumuwamba Makofi akifanya mzaha.
Kudadadeki.
🤣🤣🤣Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.
Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
Kwamba???Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.
Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
Sema tu kuhusu pira Gamond mtani wangu..!!Yanii sina la kusema...
Itakua mlitumia wale wataalam wa mazingaombwe wanaotoaga burudani mashuleni maana kama vile hamjafanya kitu au ndo mlienda kabisa kuwabust yanga,wataalam wenu wamewapiga misumari waarabu badala ya kuwapiga YangaMlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.
Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
Mm naamini ni ulozi hakuna kingine mtani...hahahahaSema tu kuhusu pira Gamond mtani wangu..!!
Kama ni ulozi nyie katumieni uaminaMm naamini ni ulozi hakuna kingine mtani...hahahaha
Tulia furahia ushindi...acha kuangalia comment usizopendaKama ni ulozi nyie katumieni uamina
Popoma mwarabu wako kachutama mara 4Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.
Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
Mie napenda povu lako tu kamua zaidi nina pipa hapa lakutosheaTulia furahia ushindi...acha kuangalia comment usizopenda
Tuko hapa unasemaje sasa? Yanga sio saizi ya mijadala yenu Makolo, tulieni kuepuka aibu hizi ndogo ndogo.Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.
Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.