GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tumewasaidia Waarabu kwa kila Kitu.Wazee wa kupeleka motoo!!🔥💛💚
Nyie wenyewe wa kusaidiwa, Sasa mta msaidia nani?Tumewasaidia Waarabu kwa kila Kitu.
Kwakuwa nimeashindwa kukujaza Mimba?
Mkuu mbona umetoa ile signature yako hapo chini?Leo ndiyo Muajentina Koko atawajua Oya Oya wa Mafurikoni kwa jinsi ambavyo Watamtukana, Watampopoa na hata kumpiga / kumuwamba Makofi akifanya mzaha.
Kudadadeki.
Ipi hiyo?Mkuu mbona umetoa ile signature yako hapo chini?
GENTAMYCINE
Safi sana, kama unaushahidi waliohusuka kuyatuma Yale majini Yao.Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.
Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
Ile sijui game changer,charisma....naona haionekani,au JF wamebadili utaratibu?Ipi hiyo?
Waulize.Ile sijui game changer,charisma....naona haionekani,au JF wamebadili utaratibu?
yanga sio timu ndogo,tuna uwezo wa kupokea matokeo yoyote yaleMlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.
Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.