The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Peace upon you all Kings and Queens,
Maisha yana mengi ya kujifunza ila kuna ukweli ulio wazi hauhitaji darasa. Maisha yana mengi tusiyojua ila kuna mambo yako wazi na watu wanafiki pekee ndio hujifanya wawaoni uhalisia, shame to them all, fake fellas.
Nevertheless, nitasema hivyo hivyo. Tafadhali na chonde nakusihi hebu nidanganye jambo lingine lolote sio eti "mwanamke mwenye kaelimu kama kadegree na ajira na kamshahara kake ati akaolewa na awe na heshina na adabu kwa mumewe".
Wanaume walioa wanawake wenye viajira (nawaonea huruma, nawashangaa na kuwadharau same time kwanini walijitwisha gunia la misumari wakati walikua na option ya kubeba gunia la tende) wananyooshwa ipasavyo na wanagugumia maumivu kimya kimya nyatu nyatu wasijue watajinasua vipi. Hapo ukute wanaishi kwenye kanyumba ambako wote "wamechangia vijimkopo" hawezi kufanya lolote.
Mwanamke anajiona yuko sawa na mume na infact anahisi yuko slightly one notch higher kwa kua sheria zinambeba, kuna ustawi ya jamii hapa na madawati ya jinsia pale yote yako upande wake qmamae. Na tambua fika kua mwanamke mwenye ajira anaithamini ajira yake kuliko ndoa.
Ewe ijana mwenye maono ya maisha ya amani mbele yako, sikufahadu hunifahamu ila nikushauri dogo, acha ujinga wa ati "nioe mwanamke wa kusaidiana maisha" acha upumbavu dogo mwanamke hatakusaidia kwa lolote hawa viumbe ni wabinafsi pro max.
Na hiyo ajira yake hautaona hata shillingi mia yake in addition hata hudumia familia wala watoto kila kitu itakua dada wa kazi huku yeye akijawa kiburi, jeuri na ujuaji sasa mwanamke wa hivyo wa nini eti ndugu ?!
Tafuta mwanamke mwenye tabia njema, mcha mungu na mwenye adabu ASIYE NA AJIRA oa huyo utakuja kunishukuru.
Tafiti zinathibitisha ndoa za mwanaume mtafutaji na mama wa nyumbani kufurikwa na amani na furaha. (Jifanye simp utakuja kufa kwa mastroke na utuachie huyo feminist tukimtomber)
Ukishupaza shingo utakuja kujuta kama wanaume wajinga wengi wa kileo wanaoishi kama kunguni ndani ya nyumba zao wenyewe. Mafahari wawili hawakai zizi moja.
Hakuna narudia hakuna aise HAKUNA mwanamke mwenye kaelimu mbuzi na kaajira asie na chembe chembe za ufaminism HAKUNA. Watajishaua nye nye nye mimi sio feminist bla bla ila matendo yao ni full feminists.
Hata uromantic wanawake walioajiriwa hawana sura zimewakauka ni kama manaume tu au tuseme madumejike the work environment inawafanya kua mangangari ngangari tu jambo dogo ligi aise hauwezi hata kumsisimua kaisha sisimuliwa na mpera mpera na mauchovu ya "kazini"
simple chemical equation ni kwamba ukichukua elimu, ajira na kamshahara ukaviweka ndani ya specimen inaitwa mwanamke heshima na adabu huyeyuka toka kwa specimen hiyo.
Maisha yana mengi ya kujifunza ila kuna ukweli ulio wazi hauhitaji darasa. Maisha yana mengi tusiyojua ila kuna mambo yako wazi na watu wanafiki pekee ndio hujifanya wawaoni uhalisia, shame to them all, fake fellas.
Nevertheless, nitasema hivyo hivyo. Tafadhali na chonde nakusihi hebu nidanganye jambo lingine lolote sio eti "mwanamke mwenye kaelimu kama kadegree na ajira na kamshahara kake ati akaolewa na awe na heshina na adabu kwa mumewe".
Wanaume walioa wanawake wenye viajira (nawaonea huruma, nawashangaa na kuwadharau same time kwanini walijitwisha gunia la misumari wakati walikua na option ya kubeba gunia la tende) wananyooshwa ipasavyo na wanagugumia maumivu kimya kimya nyatu nyatu wasijue watajinasua vipi. Hapo ukute wanaishi kwenye kanyumba ambako wote "wamechangia vijimkopo" hawezi kufanya lolote.
Mwanamke anajiona yuko sawa na mume na infact anahisi yuko slightly one notch higher kwa kua sheria zinambeba, kuna ustawi ya jamii hapa na madawati ya jinsia pale yote yako upande wake qmamae. Na tambua fika kua mwanamke mwenye ajira anaithamini ajira yake kuliko ndoa.
Ewe ijana mwenye maono ya maisha ya amani mbele yako, sikufahadu hunifahamu ila nikushauri dogo, acha ujinga wa ati "nioe mwanamke wa kusaidiana maisha" acha upumbavu dogo mwanamke hatakusaidia kwa lolote hawa viumbe ni wabinafsi pro max.
Na hiyo ajira yake hautaona hata shillingi mia yake in addition hata hudumia familia wala watoto kila kitu itakua dada wa kazi huku yeye akijawa kiburi, jeuri na ujuaji sasa mwanamke wa hivyo wa nini eti ndugu ?!
Tafuta mwanamke mwenye tabia njema, mcha mungu na mwenye adabu ASIYE NA AJIRA oa huyo utakuja kunishukuru.
Tafiti zinathibitisha ndoa za mwanaume mtafutaji na mama wa nyumbani kufurikwa na amani na furaha. (Jifanye simp utakuja kufa kwa mastroke na utuachie huyo feminist tukimtomber)
Ukishupaza shingo utakuja kujuta kama wanaume wajinga wengi wa kileo wanaoishi kama kunguni ndani ya nyumba zao wenyewe. Mafahari wawili hawakai zizi moja.
Hakuna narudia hakuna aise HAKUNA mwanamke mwenye kaelimu mbuzi na kaajira asie na chembe chembe za ufaminism HAKUNA. Watajishaua nye nye nye mimi sio feminist bla bla ila matendo yao ni full feminists.
Hata uromantic wanawake walioajiriwa hawana sura zimewakauka ni kama manaume tu au tuseme madumejike the work environment inawafanya kua mangangari ngangari tu jambo dogo ligi aise hauwezi hata kumsisimua kaisha sisimuliwa na mpera mpera na mauchovu ya "kazini"
simple chemical equation ni kwamba ukichukua elimu, ajira na kamshahara ukaviweka ndani ya specimen inaitwa mwanamke heshima na adabu huyeyuka toka kwa specimen hiyo.