The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
- #21
Mkuu umemaliza niseme nini cha ziada. Hata uromantic wanawake walioajiriwa hawana sura zimewakauka hauwezi hata kumsisimua kaisha sisimuliwa na mpera mpera na mauchovu ya "kazini"Wengi wanajikaza...nikiwaza ninavyorudi kazini nimechoka then na Mke wangu arudi kazini kwake nayeye amechoka then ni matumizi Mabaya ya Muda na fursa...