Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uthibitisho!Wasabato wanamatengenezo masalia waloenda airport washaanza tena.
Anakuja kutokea mbinguni alikokwenda kutuandalia makao. Kabla hajapaa mbinguni alisema:-Anakuja kutokea wapi ..?
-Alipoondoka ulimuona..?
Tumuombe Mungu awasaidie wengi waamini, ili Yesu akija waweze kupaaHakija siku parapanda itakapo lia tanzania wengi waliokuwa na jezi za chama cha ccm na mashabiki hawata paaa kwenda mbinguni.
Watakimbilia ofisi zao chama kuwauliza mbona tumeshindwa kupaa.
Sababu ni uwongo na hamna akili
Ukitekwa huyo mungu anakuwepo au unatuchoraTumuombe Mungu awasaidie wengi waamini, ili Yesu akija waweze kupaa
Kwa Bwana miaka elfu ni kama siku moja (2 Petro 3:8-9)Inaaminika kwamba kitabu cha Ufunuo kiliandikwa mwaka 96 CE. Kwa muktadha huo, hata Yesu angerudi leo hawezi kuwa amerudi "upesi" wakati imeshapita miaka karibu 2000 tangu aseme hayo.
Amina Johnie2323Bila shaka na wasiwasi wowote naamini yu aja upesi yesu kristo mnazarethi...
Kulingana na mafundisho ya imani yangu pamoja dalili za ujio wake kitqbu cha ufunuo: zishaanza kujionesha hivyo tuishi katika utqkatifu/sala/toba ya kweli kila wakati. Amen!
Atakuja akitokea Mbinguni kwa Baba-Anakuja kutokea wapi ..?
-Alipoondoka ulimuona..?
MasterplanThe Creator....! Is Coming.......!!!!
jamiiforums #JFKUMBUKIZI: Mwaka 2008 WauminiUthibitisho!