MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kuna watu bado wanaamini yesu alipaa mbinguni na ipo siku atarudi?!!! Amaa kweli imani za dini ni sawasawa na uraibu wa madawa ya kulevya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujui yatakayojiri 2040.2040
Mnaweza msitoboe hapa duniani.
Pet 3:3-13Mwaka wa 2000 tuliambiwa hivihivi hadi wengine wakafilisika kwa kuacha kujishughulisha wakimngoja mwana wa Mungu lakini haikutokea.
Inakuaje Mungu na kiumbe wake mpendwa Mh lusifa wasikae mezani wakatumia diplomansia badala ya nguvu?
Ulibadilisha id ukanitukanaPiga kura kwanza 🙂
Anakuja kutoka mbinguni alikokwenda kutuandalia makao.Aje kutoka wapi??
Mkuu, ni muhimu kuchunguza mambo kwa kina kabla ya kuyakataa moja kwa moja.Angekuwepo kweli angesharudi kitambo kabla hata miaka ya leo haijatimia, bahati mbaya sana huyo Yesu hayupo na hajawai kuwepo, maana ni kama storie's character aliyeundwa na wazungu acheze uhusika wa story ya maandiko ya biblia kipindi kile cha uroma na ukatolic wao.
Narudia tena, kusubiri mtasubiri sana, yesu hatorudi, maana hayupo, atarudije kama uwepo wake haupo.
Ushahidi wa uwepo wake haupo kihistoria ktk nakala, wala kisayansi vile vile.
Mnapoteza muda wenu kuamini upuuzi wa wazungu+waarabu
Haha sawa Mkuu,nimekumbuka,tupo pamoja!jamiiforums #JFKUMBUKIZI: Mwaka 2008 Waumini
51 wa Dhehebu la Wasabato Masalia, walianzisha kambi katika maeneo ya Tabata baada ya kuzuiwa na kufukuzwa zaidi ya mara 3 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakita kusafiri kwenda Ulaya kuhubiri Injili bila hati yoyote ya kusafiria huku wakidai wameagizwa na Mungu
Wakiwa Tabata, Waumini hao waliokuwa 17 na kuongezeka hadi 51 walikumbana na hali ngumu ya Maisha, (hivyo kugeuka ombaomba), pia walikuwa wakiugua hawaendi Hospitali kwa kudai "Mungu atawaponya". Majirani walilalamikia uchafuzi wa Mazingira na kero ya kuombaomba
Imeelezwa, 24 kati yao walihukumiwa kwenda jela Mwaka 1 baada ya kuvamia eneo la Watu, lakini hata walipokuwa wakipelekwa gerezani, bado walisema, "Hii ni safari pia na Mungu ana mipango yake."
Mdau, kipindi tukio hili linatokea ulikuwa wapi?
Source: JamiiForums
Bora kuamini, maana si mzigo!Kuna watu bado wanaamini yesu alipaa mbinguni na ipo siku atarudi?!!! Amaa kweli imani za dini ni sawasawa na uraibu wa madawa ya kulevya
Ni kweli kwamba mambo mabaya yamekuwa yakitokea tangu zamani. Vita, magonjwa, majanga, na dhuluma si mambo mapya. Lakini mambo hayo yanazidi kuongezeka kwa ukubwa na kasi.Zipi hizo ambazo ni mpya hazijawai kuwepo? Maana kama matukio mabaya ya kutisha yalishakuwepo tangu zamani na huenda mabaya kuliko hivi leo kipindi cha ustaarabu.
Dini ni upofu wa akili kuamini upuuzi
Hehehe!!!Ulibadilisha id ukanitukana
Usimcheke. Huyo ni wa kuombea sana maana ni vuguvugu. Hatari ya kuwa vuguvugu imeandikwa katika Ufunuo 3:16 SRUVHehehehehehehehehehehehehehehehe!!!
Hii Poll ni nafasi ya watu kueleza mitazamo yao. Yesu mwenyewe aliwauliza wanafunzi wake: ‘Ninyi mnasema mimi ni nani?’ (Mathayo 16:15). Usifikiri hakuwa na jibu, bali alitaka kila mmoja atafakari imani yake. Hali kadhalika, Poll hii ni fursa ya kila mtu kutafakari ahadi ya Yesu na msimamo alio nao mtu kuhusu ahadi hiyo ya kuja kwake.Imani ya mtu si yakupigiwa kura,
Laana yako haiwezi kunipata. Utasubiri sana!fia mbele huko