Tafadhali TANAPA angalieni hali ya vyoo vya umma Serengeti na Ngorongoro Crater

Tafadhali TANAPA angalieni hali ya vyoo vya umma Serengeti na Ngorongoro Crater

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
221
Reaction score
542
Hichi ndicho mgeni anakutana nacho pale anapotaka kuoga au kutumia public toilet kwenye campsite, ni tatizo kubwa kwa image ya nchi yetu,,,, Bar wanawezakuweka mtu wa usafi chooni ila Tanapa na Ngorongoro mnashindwa kweli au mko busy na mambo mengine?
 

Attachments

  • VID-20221225-WA0023.mp4
    1,009.5 KB
  • IMG-20221225-WA0022.jpg
    IMG-20221225-WA0022.jpg
    80.5 KB · Views: 12
  • IMG-20221225-WA0021.jpg
    IMG-20221225-WA0021.jpg
    82.7 KB · Views: 11
Hichi ndicho mgeni anakutana nacho pale anapotaka kuoga au kutumia public toilet kwenye campsite, ni tatizo kubwa kwa image ya nchi yetu,,,, Bar wanawezakuweka mtu wa usafi chooni ila Tanapa mnashindwa kweli au mko busy na mambo mengine?

Hao jamaa huwa wanaweka watu wa kuosha kila wakati, labda ulipo ni very very very remote
 
Kwahio sehemu ikishakuwa ndani ndani hakutakiwi kufanyiwe usafi 😀
lakini hii kali uyoga umechanua 😆 mwili umenisisimka

Umewahi kwenda Serengeti mara ngapi? Mimi labda mara 200, kuna maeneo hayatembelewi sana, kwa hiyo ni possible kabisa umakini huko hakuna, lakini ukitaka kubisha na kuwa mjuaji maana shemeji kakupelekeni Serengeti leo, ni sawa.
 
Back
Top Bottom