PETER THE ROCK
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 528
- 807
Hili ndilo tatizo la Tanzania na sehemu nyingi za Afrika. Utamaduni wa kuwekeza kwenye usafi wa choo haupo. Najua hata sehemu za Asia utamaduni huo haupo. Lakini Latin Amerika na China, hawatofautishi usafi wa sahani ya chakula na sahani ya chooni! Lakini kwa Tanapa ambao wamesomea kazi zao ni uzembe usio kifani kuacha vyoo kwenye hali hiyo!Hichi ndicho mgeni anakutana nacho pale anapotaka kuoga au kutumia public toilet kwenye campsite, ni tatizo kubwa kwa image ya nchi yetu,,,, Bar wanawezakuweka mtu wa usafi chooni ila Tanapa na Ngorongoro mnashindwa kweli au mko busy na mambo mengine?