Umewahi kwenda Serengeti mara ngapi? Mimi labda mara 200, kuna maeneo hayatembelewi sana, kwa hiyo ni possible kabisa umakini huko hakuna, lakini ukitaka kubisha na kuwa mjuaji maana shemeji kakupelekeni Serengeti leo, ni sawa.
Nonsense!.Asante ndugu kwa utaahira wangu, najitahidi kujielimisha niwe mwerevu kama wewe.
Ni kweli, ila mantiki yake iko palepale.Ngorongoro sio TANAPA
Mambo ya Tourism and Mashroom Agriculture![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahio sehemu ikishakuwa ndani ndani hakutakiwi kufanyiwe usafi [emoji3]
lakini hii kali uyoga umechanua [emoji38] mwili umenisisimka
Woooooi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Katika vitu sisi waswahili tuko kushoto ni choo. Nenda hata kwenye bonge ya ofisi ili miradi iko chini ya utawala wa waswahili, utakuta watu wamepiga suti za hatari na vitambi vyao, ingia chooni sasa, hapo ndio utajua ujinga wetu ulipo. Usishangae kukuta choo hakina maji, wala toilet paper, na ina vinyesi vya kumwaga. Utashangaa boss anaingia humo huko na akitoka kukata gogo anapeana mikono na watu!
Zunguka kwenye hotel hapa mjini au nje ya Dar, unakuta choo kimejaa vinyesi na nzi kibao, ukikosea ukaingia mdomo ukiwa wazi, usishangae bonge la nzi kuingia kinywani.
Hicho kinachoendelea huko mbugani kwenye public toilet, ndio reflection ya akili ya maafisa waliokabidhiwa hizo mbuga kuzisimamia. Cha ajabu sasa maafisa wa afya wakienda kwenye hoteli binafsi wakikuta hali hata kidogo ya hiyo, watakula bonge la penalti, au hata kufungiwa.
Ni kweli kasoro inaweza kuwepo kwa baadhi ya maeneo lakini pamoja na hizo kasoro kuna maeneo viwango vya usafi ni vya hali ya juu kama ilivyo kwenye uwanja wa ndege wa dubai niwaombe ngorongoro na tana waondoe hizi kasoro ndogo wageni wafurahie mandhari ya nchi yetuHichi ndicho mgeni anakutana nacho pale anapotaka kuoga au kutumia public toilet kwenye campsite, ni tatizo kubwa kwa image ya nchi yetu,,,, Bar wanawezakuweka mtu wa usafi chooni ila Tanapa na Ngorongoro mnashindwa kweli au mko busy na mambo mengine?
Ulipenda kiongozi wa nchi ajifungie chumbani na wananchi wake, exposure na experience toka kwa viongozi wenzie ataipata wapi? / kiongozi kujifungia ndani kama mwali ndiyo akili mbovu kuliko zote.Kuita wageni wakati yeye mwenyewe ndiye kageuka mtalii. Ni wazi ataivunja ile rekodi ya Vasco da gama wa msoga.
Ukijifanya mkaksi wanakufanyia nongwa, akili kichwani mwako sio kwamba hakuna wawakilishi Africa bara la gizaMimi nilenda murongo kwenye boda ya uganda na tanzania kwa upande wa karagwe! aiseeeee nilishangaa sana soko halina choo na kuna mamia ya watu.. maeneo ya kuzunguka soko kumejaa taka mwili...na karibu kuna ofs za tra na za hfadh sasa nkabak najiulza hv hili eneo hakuna wawakilishi...?
Akili mbovu ni kuwatwisha mizigo ya matozo wananchi , kisha kuyatumia kwenda nje kuzurura. Upuuzi usiomithilika.Ulipenda kiongozi wa nchi ajifungie chumbani na wananchi wake, exposure na experience toka kwa viongozi wenzie ataipata wapi? / kiongozi kujifungia ndani kama mwali ndiyo akili mbovu kuliko zote.
Mkuu hiyo picha inaonyesha kabisa vyoo sio bora ukiondoa uchafu kwa hiyo wewe ulieenda mara Mia mbili unaona hilo ni sawa...unachopinga hapo ni nini?Umewahi kwenda Serengeti mara ngapi? Mimi labda mara 200, kuna maeneo hayatembelewi sana, kwa hiyo ni possible kabisa umakini huko hakuna, lakini ukitaka kubisha na kuwa mjuaji maana shemeji kakupelekeni Serengeti leo, ni sawa.
Nakukatalia. Mpaka choo kuwekwa means ilifanyika upembuz wakamtaarifu mkuu wa site akatoa hela choo kikajengwa.sasa ukisema ni pembezon hapan sio kweli.lazim kuwe na usafiUmewahi kwenda Serengeti mara ngapi? Mimi labda mara 200, kuna maeneo hayatembelewi sana, kwa hiyo ni possible kabisa umakini huko hakuna, lakini ukitaka kubisha na kuwa mjuaji maana shemeji kakupelekeni Serengeti leo, ni sawa.
Yaani serengeti wanashindwa kuwaweka watu maalum wawe wanasafisha choo hapo 24/7Mkuu hiyo picha inaonyesha kabisa vyoo sio bora ukiondoa uchafu kwa hiyo wewe ulieenda mara Mia mbili unaona hilo ni sawa...unachopinga hapo ni nini?
Bar tuu za huku mtaani wanauza soda elfu moja na bia Elfu na Mia tano vyoo vyao ni visafi balaa mtu wa usafi yupo stand by nje wao watu wanalipa gari moja Park 295$ kuingia shimoni na Park fees zaidi ya 81 $ kwa kila Adult wakati watoto ni 45 $ na kila kitanda mgeni akilala kinalipiwa 59$ harafu unakutana na hayo mambo wao wanaona sawa tuu...tatizo wenzetu hata wakisafiri haoni wivu kuboresha nyumbani kukawa kama huko nje walikoona...Yaani serengeti wanashindwa kuwaweka watu maalum wawe wanasafisha choo hapo 24/7
Hivi viongozi wakienda ndy wanasafisha au wanawapeleka kwenye vyooo maalum hapo
Mfano ona vyoo vya huu mjengo fulani
Moroco kayfat tower jamaa vyoo vyao muda wote ni visafi, watu wa usafi wanapishana tu mule kusafisha vyoo na ndani
Sasa serengeti wnashindwa nn
Wakati wao wanapokea madola kila siku....
Ova
View attachment 2460756View attachment 2460757View attachment 2460758