Tafadhali Viongozi wa sasa kama Mmemchoka na Kumkinai Hayati Mwalimu Nyerere tuambieni tu na siyo kuanza Kumdharau kiasi hiki

Tafadhali Viongozi wa sasa kama Mmemchoka na Kumkinai Hayati Mwalimu Nyerere tuambieni tu na siyo kuanza Kumdharau kiasi hiki

Sherehe za kumbukizi ya kifo Cha Baba wa Taifa,ziwe zinahitimishwa kijijini kwake Mwitongo, ili kutoa fursa ya washiriki kufanya ibada na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi lake.Ni kweli Mwalimu Nyerere ni Baba wa Taifa,kwa hiyo maadhimisho yake kufanyika sehemu yoyote ya JMT Ni sawasawa.Lakini itapendeza zaidi ikiwa inafanyika kijijini kwake,kama inavyofanyika dua ya kumkumbuka Hayati Abeid Amani Karume,like kisiwandui Zanzibar.
Pili sherehe za kuzima Mwenge wa Uhuru,zitafutiwe siku yake, badala ya kufanyika siku moja na Nyerere day.
Tukio la leo,halijakaa vizuri na majirani zetu wanashindwa kuelewa yanayoendelea.
 
Leo ni Kumbukumbu ya Kufa ( Kututoka ) Kwake cha Kushangaza badala ya Mtu kwenda kumuweka Shada Kaburini Kwake anawekewa Shada Mtu mwingine tena aliyekufa mwaka huu.

Naona taratibu sasa mnataka 'Kuififisha' hii Siku yake Muhimu kwa kufanya 'Mautumbo' yenu nje kabisa ya Mukhtaza wa Kumbukumbu ya Kufa ( Kufariki ) Kwake.

Kama mnampenda mno Hayati Magufuli ( japo tunajuana baadhi yenu ni Wanafiki na mmeshukuru kutokuwepo Kwake ) mpaka kumuwekea Mashada kwanini tu basi msitenge Siku yake Maalum lakini siyo Kudandia na kuharibu maana halisi ya Siku ya Nyerere ya leo?

Najua mtakuja na sababu zenu na majibu yenu yenye Utetezi wa Kiitifaki ila GENTAMYCINE sitowaelewa na msipoteze muda wenu Kunifafanulia kwani kiukweli Mmenikera kufanya Tukio siyo katika Siku ya Mtu Muhimu zaidi kwa Taifa letu hili la Tanzania.

Halafu acheni Kutumia Uzee ( Ukongwe ) wa Mjane wake Mama Maria kwa Kumtumia katika Matukio yenu mengine yasiyo na maana ili tu Kutuonyesha kuwa hata Yeye na wana Familia wake Wanaridhika kwa Upuuzi na Unafiki wenu.

Mashada ya Maua kwa Siku ya leo 'Logically' yalipaswa yakawekwe sana pale Mwintongo Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) na siyo Chato Mkoani Geita.

Upuuzi wenu huu wa leo umenikwaza!!!
Leo ni tukio la uzimaji Mwenge, Kwa miaka mingi mwenge huwashwa na kuzimwa maeneo tofauti kwa kuzingatia ujumbe na kumbukizi ya matukio inayotayarishwa na serikali kuwakumbusha wananchi wake. Safari hii ni zamu ya Chato kama kumbukizi ya kifo cha JPM kama ilivyofanywa Butiama miaka ya nyuma baada ya kifo cha JKN.
 
Leo ni Kumbukumbu ya Kufa ( Kututoka ) Kwake cha Kushangaza badala ya Mtu kwenda kumuweka Shada Kaburini Kwake anawekewa Shada Mtu mwingine tena aliyekufa mwaka huu.

Naona taratibu sasa mnataka 'Kuififisha' hii Siku yake Muhimu kwa kufanya 'Mautumbo' yenu nje kabisa ya Mukhtaza wa Kumbukumbu ya Kufa ( Kufariki ) Kwake.

Kama mnampenda mno Hayati Magufuli ( japo tunajuana baadhi yenu ni Wanafiki na mmeshukuru kutokuwepo Kwake ) mpaka kumuwekea Mashada kwanini tu basi msitenge Siku yake Maalum lakini siyo Kudandia na kuharibu maana halisi ya Siku ya Nyerere ya leo?

Najua mtakuja na sababu zenu na majibu yenu yenye Utetezi wa Kiitifaki ila GENTAMYCINE sitowaelewa na msipoteze muda wenu Kunifafanulia kwani kiukweli Mmenikera kufanya Tukio siyo katika Siku ya Mtu Muhimu zaidi kwa Taifa letu hili la Tanzania.

Halafu acheni Kutumia Uzee ( Ukongwe ) wa Mjane wake Mama Maria kwa Kumtumia katika Matukio yenu mengine yasiyo na maana ili tu Kutuonyesha kuwa hata Yeye na wana Familia wake Wanaridhika kwa Upuuzi na Unafiki wenu.

Mashada ya Maua kwa Siku ya leo 'Logically' yalipaswa yakawekwe sana pale Mwintongo Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) na siyo Chato Mkoani Geita.

Upuuzi wenu huu wa leo umenikwaza!!!
Watakuita majina yote mabaya wanayobatiza watu siku hizi. Gaidi, msaliti, bepari, lkn ukweli utasimama. Kwa Karume huu ujinga hauwezi kufanyika.
 
Leo ni tukio la uzimaji Mwenge, Kwa miaka mingi mwenge huwashwa na kuzimwa maeneo tofauti kwa kuzingatia ujumbe na kumbukizi ya matukio inayotayarishwa na serikali kuwakumbusha wananchi wake. Safari hii ni zamu ya Chato kama kumbukizi ya kifo cha JPM kama ilivyofanywa Butiama miaka ya nyuma baada ya kifo cha JKN.
Huu ni Utetezi wa Kipumbavu kutoka kwa Mpumbavu.
 
Mnamkosea sana heshima Madame President Samia S H!

Kwamba kabebwa tu out of her own will kwenda Chato?!

Tujifunze kuheshimu mamlaka hata kama hatuipendi!
Sasa kama hajielewi watu wasemaje
Mwenyewe anajiita hangaya
 
Leo ni Kumbukumbu ya Kufa ( Kututoka ) Kwake cha Kushangaza badala ya Mtu kwenda kumuweka Shada Kaburini Kwake anawekewa Shada Mtu mwingine tena aliyekufa mwaka huu.

Naona taratibu sasa mnataka 'Kuififisha' hii Siku yake Muhimu kwa kufanya 'Mautumbo' yenu nje kabisa ya Mukhtaza wa Kumbukumbu ya Kufa ( Kufariki ) Kwake.

Kama mnampenda mno Hayati Magufuli ( japo tunajuana baadhi yenu ni Wanafiki na mmeshukuru kutokuwepo Kwake ) mpaka kumuwekea Mashada kwanini tu basi msitenge Siku yake Maalum lakini siyo Kudandia na kuharibu maana halisi ya Siku ya Nyerere ya leo?

Najua mtakuja na sababu zenu na majibu yenu yenye Utetezi wa Kiitifaki ila GENTAMYCINE sitowaelewa na msipoteze muda wenu Kunifafanulia kwani kiukweli Mmenikera kufanya Tukio siyo katika Siku ya Mtu Muhimu zaidi kwa Taifa letu hili la Tanzania.

Halafu acheni Kutumia Uzee ( Ukongwe ) wa Mjane wake Mama Maria kwa Kumtumia katika Matukio yenu mengine yasiyo na maana ili tu Kutuonyesha kuwa hata Yeye na wana Familia wake Wanaridhika kwa Upuuzi na Unafiki wenu.

Mashada ya Maua kwa Siku ya leo 'Logically' yalipaswa yakawekwe sana pale Mwintongo Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) na siyo Chato Mkoani Geita.

Upuuzi wenu huu wa leo umenikwaza!!!
Kwamba yule mama na umri wake, familia ya baba wa Taifa na ndugu zake wanatumika bila ridhaa yao! You have underestimated them to the maximum, no matter how hard you might try to lasso it, you will never figure it out… The family knows exactly what they are doing man.
 
Tafadhali naomba ufungulie uzi.
Kufungua Uzi JamiiForums na ukakubalika ni Kipaji Mkuu na sidhani kama huyu Nut Achimwene wa Makete ana uwezo huo.

Kama kutaja ( kuandika ) vyema Jina la Esther hawezi ( ameshindwa ) na ameandika Easter unadhani Mtu huyu Kichwani ni mzima?

Halafu amejinasibu kuwa ameishi mno South Africa na anaijua vyema hadi maeneo na mitaa yote kuliko hata Rais Cyril Ramaphosa huku akiwa na Exposure cha Kushangaza hajui Kuandika jina la Esther na kaandika Easter.

Na ID yake imepigwa Ban hivi Juzi Mkuu.
 
Nasikia kuna Successor ambaye mwendazake alimteua mteua mapema tu toka Sukuma gang ndo inaendesha nchi kwasasa anampelekesha mama kinoma yeye ndo kafanya mama apewe uchifu Hangaya uko kanda ya ziwa
 
Nasikia kuna Successor ambaye mwendazake alimteua mteua mapema tu toka Sukuma gang ndo inaendesha nchi kwasasa anampelekesha mama kinoma yeye ndo kafanya mama apewe uchifu Hangaya uko kanda ya ziwa
Sasa Hangaya kile kichwa kina nini ndani mbona kama hakitumii kifikiria kabisa yaani yeye kila kitu anapangiwa?
 
Ndiyo kosa la kufa mtu kama Rais Mkapa , angeliona hili jambo mapema, imeima sana.
 
Leo ni Kumbukumbu ya Kufa ( Kututoka ) Kwake cha Kushangaza badala ya Mtu kwenda kumuweka Shada Kaburini Kwake anawekewa Shada Mtu mwingine tena aliyekufa mwaka huu.

Naona taratibu sasa mnataka 'Kuififisha' hii Siku yake Muhimu kwa kufanya 'Mautumbo' yenu nje kabisa ya Mukhtaza wa Kumbukumbu ya Kufa ( Kufariki ) Kwake.

Kama mnampenda mno Hayati Magufuli ( japo tunajuana baadhi yenu ni Wanafiki na mmeshukuru kutokuwepo Kwake ) mpaka kumuwekea Mashada kwanini tu basi msitenge Siku yake Maalum lakini siyo Kudandia na kuharibu maana halisi ya Siku ya Nyerere ya leo?

Najua mtakuja na sababu zenu na majibu yenu yenye Utetezi wa Kiitifaki ila GENTAMYCINE sitowaelewa na msipoteze muda wenu Kunifafanulia kwani kiukweli Mmenikera kufanya Tukio siyo katika Siku ya Mtu Muhimu zaidi kwa Taifa letu hili la Tanzania.

Halafu acheni Kutumia Uzee ( Ukongwe ) wa Mjane wake Mama Maria kwa Kumtumia katika Matukio yenu mengine yasiyo na maana ili tu Kutuonyesha kuwa hata Yeye na wana Familia wake Wanaridhika kwa Upuuzi na Unafiki wenu.

Mashada ya Maua kwa Siku ya leo 'Logically' yalipaswa yakawekwe sana pale Mwintongo Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) na siyo Chato Mkoani Geita.

Upuuzi wenu huu wa leo umenikwaza!!!
Kuna jamaa niponae huku kitwe,ameshangaa ,

Yaan mambo mengine ni upuuzi
 
Wamefanya ujinga sana wanadhani watu watawasifia. Yaani Nyerere day wanaenda kujazana Chato.
 
Shughuli za Mwenge zilipangwa kufanyika Chato sio Butiama. Wacheni nongwa.
 
Ndio wamekosea ila wamefanya kimkakati kupunguza nguvu za team mwendazake mana wamekuja wakisepa Rais ameendekeza sherehe leo hautoona thread za namna hii zikianzishwa sababu kwao ni jambo jema ila lingefanyika pwani au bagamoyo umeingia thread 20 zikimponda Rais
Lakini pia naona kama wahitaji kufanya ili kuzika kivuli cha Mwendazake ili kuhalalisha matukio kwa maeneo mengine
Just imbalance upepo wa kisiasa
Angefanyia Zanzibar ungewasikia humu wasukuma wangemuita mama sijui mkabila,Mara sijui mdini,

Leo wapo kimiya hawampondi kenge hawa
 
Back
Top Bottom