GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama ni kweli kutokana na Mkatoliki Mmoja kuniambia kuwa anayetakiwa kwenda kula Ekaristi Takatifu / Mkate wa Bwana hasa Siku za Ibada za Jumapili na nyinginezo ni yule tu ambaye Kaungama dhambi zake Siku ya Alhamisi ya Wiki husika basi nina uhakika wa 100% Dhambi ambazo GENTAMYCINE ninazo mpaka sasa katika Chumba cha Hukumu tukuka cha Mwenyezi Mungu kule Mbinguni zikiwa ndogo basi ni Bilioni Mia Saba na Milioni Tisini Laki Tatu na Elfu Kumi na Mbili na Mia Saba Arobaini.
Kwa kumbukumbu zangu tu mara yangu ya mwisho Kuungama ilikuwa ni mwaka 1994, ila kila Jumapili nakula Mkate.
Kwa kumbukumbu zangu tu mara yangu ya mwisho Kuungama ilikuwa ni mwaka 1994, ila kila Jumapili nakula Mkate.

