Tafadhali Wakatoliki Wenzangu mliokomaa katika Ukatoliki naomba huu ufafanuzi wa nani hasa anatakiwa kwenda kula Ekaristi Takatifu Siku za Maombi

Tafadhali Wakatoliki Wenzangu mliokomaa katika Ukatoliki naomba huu ufafanuzi wa nani hasa anatakiwa kwenda kula Ekaristi Takatifu Siku za Maombi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama ni kweli kutokana na Mkatoliki Mmoja kuniambia kuwa anayetakiwa kwenda kula Ekaristi Takatifu / Mkate wa Bwana hasa Siku za Ibada za Jumapili na nyinginezo ni yule tu ambaye Kaungama dhambi zake Siku ya Alhamisi ya Wiki husika basi nina uhakika wa 100% Dhambi ambazo GENTAMYCINE ninazo mpaka sasa katika Chumba cha Hukumu tukuka cha Mwenyezi Mungu kule Mbinguni zikiwa ndogo basi ni Bilioni Mia Saba na Milioni Tisini Laki Tatu na Elfu Kumi na Mbili na Mia Saba Arobaini.

Kwa kumbukumbu zangu tu mara yangu ya mwisho Kuungama ilikuwa ni mwaka 1994, ila kila Jumapili nakula Mkate.
 
Kwa katoliki kiuhalisia anayetakiwa kula ekaristi takatifu ni mtoto mchanga tu asiye na dhambi wengine haiwahusu wakale wali , ugali ,kande na pizza kwao
 
Kama ni kweli kutokana na Mkatoliki Mmoja kuniambia kuwa anayetakiwa kwenda kula Ekaristi Takatifu / Mkate wa Bwana hasa Siku za Ibada za Jumapili na nyinginezo ni yule tu ambaye Kaungama dhambi zake Siku ya Alhamisi ya Wiki husika basi nina uhakika wa 100% Dhambi ambazo GENTAMYCINE ninazo mpaka sasa katika Chumba cha Hukumu tukuka cha Mwenyezi Mungu kule Mbinguni zikiwa ndogo basi ni Bilioni Mia Saba na Milioni Tisini Laki Tatu na Elfu Kumi na Mbili na Mia Saba Arobaini.

Kwa kumbukumbu zangu tu mara yangu ya mwisho Kuungama ilikuwa ni mwaka 1994, ila kila Jumapili nakula Mkate.
kuna siku za maombi kanisa katoliki kweli?:pedroP:

anyway,
ni wakatoliki waliojiandaa kiroho pekee, ndio wanaruhusiwa na kupaswa kupokea ekarist Takatifu....

waliojipanga tu kupokea ekaristi takatifu kama wewe, huwa ni sawa na kubugia maandazi au vitumbua tu. au kupanga foleni ya mihogo kwa yule mama pale kona,

ila kuna siku yako inakuja,
na ni lazima itafika,
utatapika sana palepale kwenye madhabahu, kwasababu ekaristi itagoma kuingia kwenye roho na mwili wenye dhambi na uchafu....
au utajikuta umevimbiwa ghafla mara baada ya kubugia ekaristi bila utakaso na matokeo yake utaharibu hali ya hewa kanisani na kutatiza ibada za wengine....

don't try that again,
usichezee ekaristi takatifu aise :pulpTRAVOLTA:
 
Dingi ule ni mkate tuh wa ngano haubadilishi chochote maishani mwako, fanya yaliyojema achana kukomaa na mafundisho ya dini watakumaliza kwa upumbavu uliokuwa nao kichwan mwako
 
Back
Top Bottom