Usipanic bwashee mambo haya hayataki hasira mzee kama hujaelewa concern ya mtoa mada subiri muda wa remedial.πΌ πΌ ππΌ
Huna lelote lile umelegea tu huko ulipo.
the burden is on you. Prove it! una harahara
Koma kuniita mzee. Mzee ni yule aliye kuzaa.
Duh
Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?
Lumumba bado Kuna watu wanafikiria Tanzania tuitakayo, wewe ukiwa mmoja wao. Shida ni kwamba bendera fuata upepo niwe go mno na ndiyo ngao ya wenye nchi!!!Jana Machi 27, shamba la familia ya Rais Mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta lilivamiwa na uharibifu pamoja na wizi kufanyika. Shambani humo moto mkubwa uliwashwa; miti ya mbao na nguzo ilikatwa na wizi wa mali mbalimbali wakiwemo mamia ya kondoo ulifanyika.
Tundu Lissu, mnamo Septemba 7, 2017 alishambuliwa kwa risasi na 'watu wasiojulikana' kulikokuwa nyumbani kwake Area D, jijini Dodoma. Lissu alipata maumivu makali na shambulio hilo limemuachia 'ulemavu' wa kudumu mwilini na akilini mwake.
Ni utaratibu wa dunia nzima kuwa makazi na mali za viongozi wakuu wastaafu kulindwa kwa namna yoyote. Hata makazi yao baada ya kustaafu hulindwa na askari wanaobadilishana zamu kila uchao. Sasa Kenyatta wawili wameshakuwa marais wa Kenya.
Ni utaratibu wa nchi yetu kuwa makazi ya Mawaziri, Ofisi ya Spika na Wabunge kule Dodoma hulindwa kila uchao kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa viongozi wetu hao. Lissu alikuwa Mbunge na alikuwa akiishi kwenye makazi yaliyokuwa na ulinzi mkali, Area D.
Wakati wa uvamizi wa shamba la Kenyatta jana hakukuwa na wala hawakufika maafisa wa usalama-kama polisi kwa ajili ya kulinda shamba hilo dhidi ya uvamizi huo. Hata Septemba 7, 2017 Area D wakati wa shambulio la Lissu haikuwa na ulinzi kama ilivyokuwa kawaida yake. Inashangaza na kutafakarisha.
Raila Odinga si wa kupuuzwa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini Nairobi, Kenya)
Ndugu Brazaj. Nilikwambia waandamanaji wakiadvance uelekeo wa maandamano Yao, ntaunga mkono maandamano Kenya.Mkuu nyomi hizi ni kubwa mno kujaribu kuuhalalisha kirahisi rahisi mgogoro kihivyo.
View attachment 2568407
Zingatia polisi walihusika Jana kupiga waandishi na kushadadia shamba la uhuru kuhujumiwa:
Jambo nililojifunza kwenye mada yako piani kuwa kuna visasi vimetokea kati ya hizo pande mbiliJana Machi 27, shamba la familia ya Rais Mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta lilivamiwa na uharibifu pamoja na wizi kufanyika. Shambani humo moto mkubwa uliwashwa; miti ya mbao na nguzo ilikatwa na wizi wa mali mbalimbali wakiwemo mamia ya kondoo ulifanyika.
Tundu Lissu, mnamo Septemba 7, 2017 alishambuliwa kwa risasi na 'watu wasiojulikana' kulikokuwa nyumbani kwake Area D, jijini Dodoma. Lissu alipata maumivu makali na shambulio hilo limemuachia 'ulemavu' wa kudumu mwilini na akilini mwake.
Ni utaratibu wa dunia nzima kuwa makazi na mali za viongozi wakuu wastaafu kulindwa kwa namna yoyote. Hata makazi yao baada ya kustaafu hulindwa na askari wanaobadilishana zamu kila uchao. Sasa Kenyatta wawili wameshakuwa marais wa Kenya.
Ni utaratibu wa nchi yetu kuwa makazi ya Mawaziri, Ofisi ya Spika na Wabunge kule Dodoma hulindwa kila uchao kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa viongozi wetu hao. Lissu alikuwa Mbunge na alikuwa akiishi kwenye makazi yaliyokuwa na ulinzi mkali, Area D.
Wakati wa uvamizi wa shamba la Kenyatta jana hakukuwa na wala hawakufika maafisa wa usalama-kama polisi kwa ajili ya kulinda shamba hilo dhidi ya uvamizi huo. Hata Septemba 7, 2017 Area D wakati wa shambulio la Lissu haikuwa na ulinzi kama ilivyokuwa kawaida yake. Inashangaza na kutafakarisha.
Raila Odinga si wa kupuuzwa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini Nairobi, Kenya)
Mzee Shikamoo , Karibu tena JukwaaniJana Machi 27, shamba la familia ya Rais Mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta lilivamiwa na uharibifu pamoja na wizi kufanyika. Shambani humo moto mkubwa uliwashwa; miti ya mbao na nguzo ilikatwa na wizi wa mali mbalimbali wakiwemo mamia ya kondoo ulifanyika.
Tundu Lissu, mnamo Septemba 7, 2017 alishambuliwa kwa risasi na 'watu wasiojulikana' kulikokuwa nyumbani kwake Area D, jijini Dodoma. Lissu alipata maumivu makali na shambulio hilo limemuachia 'ulemavu' wa kudumu mwilini na akilini mwake.
Ni utaratibu wa dunia nzima kuwa makazi na mali za viongozi wakuu wastaafu kulindwa kwa namna yoyote. Hata makazi yao baada ya kustaafu hulindwa na askari wanaobadilishana zamu kila uchao. Sasa Kenyatta wawili wameshakuwa marais wa Kenya.
Ni utaratibu wa nchi yetu kuwa makazi ya Mawaziri, Ofisi ya Spika na Wabunge kule Dodoma hulindwa kila uchao kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa viongozi wetu hao. Lissu alikuwa Mbunge na alikuwa akiishi kwenye makazi yaliyokuwa na ulinzi mkali, Area D.
Wakati wa uvamizi wa shamba la Kenyatta jana hakukuwa na wala hawakufika maafisa wa usalama-kama polisi kwa ajili ya kulinda shamba hilo dhidi ya uvamizi huo. Hata Septemba 7, 2017 Area D wakati wa shambulio la Lissu haikuwa na ulinzi kama ilivyokuwa kawaida yake. Inashangaza na kutafakarisha.
Raila Odinga si wa kupuuzwa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini Nairobi, Kenya)
Muwe mnasoma kwanza. Mzee amefanya comparison analysis ya matukio mawili wewe un jump kisa ametajwa lisu?Ya Lissu ni ya Lissu na Mazingira aliyotengeneza
Ya Uhuru ni ya Uhuru na Ruto na Uchaguzi wao.
Hakuna mahusiano kati ya hayo matukio.
Ndugu Brazaj. Nilikwambia waandamanaji wakiadvance uelekeo wa maandamano Yao, ntaunga mkono maandamano Kenya.
Ingawa move hiyo imeanzisha Kwa hila under Tolu, bt wanakoelekea ni kuwa fungua macho wananchi wadai ardhi iliyo chini ya mabepari.
Wakitoka ktk mashamba ya freedom, waende Kwa mashamba ya Odii na waende Kwa mashamba ya tolu.
Tatizo la gharama za maisha litapungua ikiwa wananchi maskini watamiliki ardhi Kwa KILIMO na makazi.
Acha inyeshe, Tutaona panapovuja.
Utampelekaje mahakamani wakati Ruto mwenyewe anahitaji mazungumzoOdinga sio wa kupuuzwa kweli, anawaongoza waandamanaji kuvunja sheria, anatakiwa yeye pamoja na waandamanaji wapelekwe mahakamani kujibu mashtaka dhidi yao.
Raila ni kivuruge tu....awali alidai maandamano ni sababu ya ugumu wa maisha kwa sasa ameyahusanisha na matokeo ya uchaguzi uliyopita ambao mahakama iliyabariki.Ruto ni jiwe mtupu, katiba ya huko angalau inamfunga breki.
The end justifies the means,Shamba la Uhuru na investment za Raila zimehijumiwa kama walivyohujumuiwa waandishi Kwa maelekezo kutokea juu.
Usishangae polisi walikuwamo kwenye hujuma hizo.
Hujuma kama hizo zikichezwa sana awamu Ile na yule shujaa.
The end justifies the means,
Wakimaliza kuhujumu Mali za Odii na Kenyatta, waende pia kwenye mashamba ya the late Moii, ndipo warejee Kwa Tolu.
Maandamano yakifanyika mashambani mwa mabepari, waliohodhi robo ya ardhi ya KILIMO,
Tatizo la mfumuko wa Bei litapata ufumbuzi.
Ninadhani tunawahi sana kuwasemea wengine. Huku ni kuifikiri nyomi hii yote ni ya wajinga:Raila ni kivuruge tu....awali alidai maandamano ni sababu ya ugumu wa maisha kwa sasa ameyahusanisha na matokeo ya uchaguzi uliyopita ambao mahakama iliyabariki.
Maandamano kwa Sasa yamegeuka ghasia, uporaji, uharibifu wa mali na kitisho kwa shughuli za uchumi hili haliwezi kukubalika na werevu.
Mzee Odinga anatafuta 'new hand shake' apate mkate kidogo baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura.
vijana wa Africa wanatumika vibaya na wanasiasa wakware wa madaraka na ukwasi.
brazaj econonist
Hamna tatizo, BAADAYE, watarudi tena kati.Waharibu mali na washambulia wanahabari hao ni wasiojulikana kama was enzi za jiwe tu. Hao ni wameamriwa. Hao ni state apparatus.
Makamishna 8 wa tume kuu ya uchaguzi hawakukataa bure kukubaliana na matokeo kuwa Rais Ruto alipita kihalali, kuna kitu kipo nyuma ya pazia na muda ni mwalimu sahihi wa majibu.Raila ni kivuruge tu....awali alidai maandamano ni sababu ya ugumu wa maisha kwa sasa ameyahusanisha na matokeo ya uchaguzi uliyopita ambao mahakama iliyabariki.
Maandamano kwa Sasa yamegeuka ghasia, uporaji, uharibifu wa mali na kitisho kwa shughuli za uchumi hili haliwezi kukubalika na werevu.
Mzee Odinga anatafuta 'new hand shake' apate mkate kidogo baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura.
vijana wa Africa wanatumika vibaya na wanasiasa wakware wa madaraka na ukwasi.
brazaj econonist
Sheria zingine za nchi bhana daaah! robo 3 ya nchi inamilikiwa na Raia mmoja tu na nchi yenyewe ina kilometers chache sana za miraba ya ardhi.The end justifies the means,
Wakimaliza kuhujumu Mali za Odii na Kenyatta, waende pia kwenye mashamba ya the late Moii, ndipo warejee Kwa Tolu.
Maandamano yakifanyika mashambani mwa mabepari, waliohodhi robo ya ardhi ya KILIMO,
Tatizo la mfumuko wa Bei litapata ufumbuzi.