Tafakari: Uvamizi wa shamba la Kenyatta na shambulio la Lissu

Tafakari: Uvamizi wa shamba la Kenyatta na shambulio la Lissu

Mkuu we nae ni bure una hoja lakini hujaileta vyema.
Kashindwa kuweka vioanishi kwa mpanglio rahisi kwa msomaji.
Pammoja na hilo Lissu hakuwa na nafasi kubwa za kisiasa au mali au umaharufu kama la Raisi Uhuru Kenyatta .
Shamba la Kenyatta limeteketezwa na kupora mali wakati Uhuru ameishastaafu uraisi,Lissu alimiminiwa risasi akiwa mbunge.
 
Ngoja tuone kama wataweza kuvumilia mali na vitega uchumi vyao kuharibiwa huwez kufanya fujo Kwa Raisi aliyechaguliwa kapeleka Kesi mahakamani huko amechemka na asipokuwa makin Mzee odinga akina Rutto watamuondoa kabisa dunian ki namna wanavyojua wao

Waliondolewa duniani kina Biko Mahlangu Malcolm x Martin Luther, Milambo, Isike, Sina, Mkwawa, Mtikila, na wengine Lakini hadi Leo wanaishi.

Kwani hujui kuwa kutokea mahakamani hukumu nyingi tu siyo za haki? Kuchemka maana yake nini ndugu?

Religious, business leaders urge Ruto, Raila to hold talks

Wakenya wanataka maridhiano ila wabeba maono nyie?

Kulikoni kujidhalilisha hivyo?
 
Wee jamaa umeona na ndiyo mwelekeo anayofanya Rutto kuonesha wapi ilipo chakula kuwa ardhi yenu ni hii hapa waende wakachukue Sasa kitimutimu chake sio Cha nchi hii
Na wamesaidiwa kufanya uporaji na kuiba mifugo, wakishakula na kikaisha,

Wakipata njaa, watarudi tena. Wameandika Katiba mpya lakini hawakufumua urasimu ktk ARDHI ambayo Niko lilipo tatizo kuu la wananchi wa Kenya.

Hapa kwetu pamoja na Changamoto tulizonazo, mtu anaweza akawa ni MACHINGA mjini bt ana mashamba kijijini, anaweza nunua mifugo akiwa mjini au kulipa watu wamlimie.

Jambo Hilo wengi Kenya hawaliwezi, unaweza kuwa na pesa bt usiipate ARDHI iliyohodhiwa na mabepari waliowahi kuwa viongozi zamani.

Imagine kilo ya UNGA inauzwa KSH 350 ambayo ni zaidi ya 6,000 ya Tanzania.

Hali hiyo ingekuwa kwetu, hayupo ambaye angekaa home bila kuandamana.
 
Back
Top Bottom