Tafakari: Uvamizi wa shamba la Kenyatta na shambulio la Lissu

Tafakari: Uvamizi wa shamba la Kenyatta na shambulio la Lissu

Sheria zingine za nchi bhana daaah! robo 3 ya nchi inamilikiwa na Raia mmoja tu na nchi yenyewe ina kilometers chache sana za miraba ya ardhi.

Africa, Africa, Africa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wanahamasisha wananchi maskini maandamano wakati wamejimilikisha ardhi yote yenye rutuba.

Tolu, Odii na freedom yawapate Ili wananchi wapate Ukombozi wa Kweli.
 
~ Kenyatta mwenyewe alimuondolea ulinzi DP Ruto akiwa madarakani.

~Walinzi wa wastaafu huwa hawapelekwi kwenye mashamba bali makazi yao tu.

~Maandamano ya wafuasi wa RAO nayo yanaambatana na uporaji.

~ Hata kiwanda cha RAO ni vile kina electric fence tu ila Alhamis ijayo kitatiwa kiberiti.
 
Hamna tatizo, BAADAYE, watarudi tena kati.

Na baada ya hapo, hayupo tena Mwanasiasa atakayewadanganya wananchi Kwa interest zake.

Ukombozi wa Kweli utapatikana.

Mungu ibariki pembe ya Africa,

Mungu ibariki NYIKANI,

Itunze Kwa Ukombozi wa Dunia Kwa ajili ya watakatifu.

Ameen.

Ujasiri wa kuona mwanasiasa kudanganya wananchi mnaupata wapi?

Kwani waandamanaji ni watoto wadogo au ni punguani?

Kwani waandamanaji hawajui hatari inayowakabili huko kwenye maandamano?

Kwanini kuwadhania msiowafahamu kuwa wanaweza kuwa wajinga na werevu ni ninyi?
 
Ni mpuuzi na mpumbavu kama wewe ndio anayeweza kushindwa kuona anachotaka kuelewesha....ambacho hakuna. Zaidi ya kuweka correlation ya Ruto na Hayati. Sasa nenda ukabishe huko na akili yako unayoita akili
.. Mie ndio nilichoambulia hapo. Usinichagulie tafsiri.
Sasa,ni nini hukufanya uingie kwenye mijadala(jieleweshe maana ya mijadala)wakati huwa unakuwa na majibu yako?Ungeenda hata kwa katibu wako wa chama chako mjadili kuuza kadi.
 
Mkuu we nae ni bure una hoja lakini hujaileta vyema.
Hoja imeeleweka wazi kwa wenye uelewa mzuri.

Shambulio la Lisu, kwanza kilichofanyika ni kuondolewa ulinzi kwenye eneo alilokuwa akiishi kabla ya uhalifu. Dola iliondoa ulinzi.

Uhuru Kenyata kama Rais mstaafu, yeye mwenyewe, makazi na mali yake vinastahili kulindwa. Mali zake zimeharibiwa. Wahalifu wameachwa wafanye uhalifu wao bila ya kubugdhiwa na dola, sawa kama walivyoachwa washambuliaji wa Lisu, ambao hata baada ya shambulio, waliwekewa njia ya kupita bila bugdha, kwa askari kuyazuia magari na bodaboda.

Mlingano wa matukio - katika mazingira yote mawili, dola inanyoshewa kuwa nyuma ya uhalifu.
 
Jana Machi 27, shamba la familia ya Rais Mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta lilivamiwa na uharibifu pamoja na wizi kufanyika. Shambani humo moto mkubwa uliwashwa; miti ya mbao na nguzo ilikatwa na wizi wa mali mbalimbali wakiwemo mamia ya kondoo ulifanyika.

Tundu Lissu, mnamo Septemba 7, 2017 alishambuliwa kwa risasi na 'watu wasiojulikana' kulikokuwa nyumbani kwake Area D, jijini Dodoma. Lissu alipata maumivu makali na shambulio hilo limemuachia 'ulemavu' wa kudumu mwilini na akilini mwake.

Ni utaratibu wa dunia nzima kuwa makazi na mali za viongozi wakuu wastaafu kulindwa kwa namna yoyote. Hata makazi yao baada ya kustaafu hulindwa na askari wanaobadilishana zamu kila uchao. Sasa Kenyatta wawili wameshakuwa marais wa Kenya.

Ni utaratibu wa nchi yetu kuwa makazi ya Mawaziri, Ofisi ya Spika na Wabunge kule Dodoma hulindwa kila uchao kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa viongozi wetu hao. Lissu alikuwa Mbunge na alikuwa akiishi kwenye makazi yaliyokuwa na ulinzi mkali, Area D.

Wakati wa uvamizi wa shamba la Kenyatta jana hakukuwa na wala hawakufika maafisa wa usalama-kama polisi kwa ajili ya kulinda shamba hilo dhidi ya uvamizi huo. Hata Septemba 7, 2017 Area D wakati wa shambulio la Lissu haikuwa na ulinzi kama ilivyokuwa kawaida yake. Inashangaza na kutafakarisha.

Raila Odinga si wa kupuuzwa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini Nairobi, Kenya)
Yajayo yanafurahisha, wanaojitokeza kwenye maandamano niwengi kuliko waliomchagua Raisi na makamu wake fake....kwa hili lakuchoma moto mali za familia za Raisi mstaafu wametia moto kwa petroli.... wataikimbia ikulu wenyewe majambazi hawa... system ilimsaidia sn huyu Ruto kuingia madarakani, ndomana wale wa-Venezuela waliokamatwa na vifaa vya kupigia kura KINOTI aliwaachia kinyemela, hata kujiuzulu kwa KINOTI ni danganya toto wote wamehusika kumpora RAILA ushindi wake, jopo la majai na jaji mkuu wote ni VIBARAKA wa Ruto, sasa watajua maharage ni Mboga, wizi kwenye mradi wa Arror na kimwarer dam, wamemalizana kimya kimya na Wataliano juzi, kashfa ya wizi kwenye county wa makamu wa raisi kesi imefutwa, Aisha Jumwa anayekabiliwa na kesi ya mauaji bila aibu kahongwa uwaziri sasa unamshitakije? , Kenya KWISHA .
 
Duh

Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?
Alishambuliwa katika eneo linalolindwa na polisi 24/7 ndiyo ilikuwa point ya mleta mada.
Inawezekana vipi eneo linalolindwa 24/7 wakati wa mashambulizi polisi wote wa zamu wanakosekana katika eneo lao la ulinzi? Polisi wa zamu, wapangaji wa ratiba za ulinzi, mkuu wa jeshi la polisi, shirika la ujasusi(mashushushu) na wizara husika lazima kunakuwa na walakini.
-Only big brains can understand this.
 
Mbona unaongelea scenario mbili ambazo ni incomparable? Yaani tukio la uvamizi wa tundulissu linaonekana ni wazi ni la kijasusi na kigaidi na wahusika wanaoneka walikuwa na connection au na mahusiano na viongozi wa serikali na ndio maana hadi leo kesi imezima na hakuna mtu kaguswa.

Sasa hilo tukio la shamba la Kenyatta ni wazi ni tukio la kijamii ambapo raia ambao wameishi katika maisha ya kimasikini na kukosa access ya kutumia ardhi wameamua kufanya uharibifu wa moja kwa moja kama njia ya kuonyesha machungu na kisasi kwa ukosefu wa haki katika umiliki wa mali na rasilimali hapo kenya.
Kufanana kwa scenarios hizi mbili ni pale polisi wa zamu wanapokosekana eneo lao la kazi ambalo wapaswa kuwepo 24/7, kwanini polisi wakosekane muda wa shambulio?
 
Aende mahakamani.
Nenda mahakamani
....haya wewe ndie unaejifanya umeelewa, umeelewa nini? manake sijaona umebandika lelote lenye kuonyesha huo uwerevu unaojipachika....Nieleweshe

Huwa ninakuambia una uwezo mdogo wa uelewa na kiuandishi, nadhani sasa umejionea kwa mdau mwingine.
 
Muwe mnasoma kwanza. Mzee amefanya comparison analysis ya matukio mawili wewe un jump kisa ametajwa lisu?
😂😂😌
Yaani nimecheka. Ati Nisome kwanza, kwamba sikusoma ila nimeona ametajwa lisu ni ka un jump. Ahhhh
Sasa ndugu yangu, unataka kusema nimeonaje katajwa lissu? Haya basi. Nitasoma tena.
 
Mbona unaongelea scenario mbili ambazo ni incomparable? Yaani tukio la uvamizi wa tundulissu linaonekana ni wazi ni la kijasusi na kigaidi na wahusika wanaoneka walikuwa na connection au na mahusiano na viongozi wa serikali na ndio maana hadi leo kesi imezima na hakuna mtu kaguswa.

Sasa hilo tukio la shamba la Kenyatta ni wazi ni tukio la kijamii ambapo raia ambao wameishi katika maisha ya kimasikini na kukosa access ya kutumia ardhi wameamua kufanya uharibifu wa moja kwa moja kama njia ya kuonyesha machungu na kisasi kwa ukosefu wa haki katika umiliki wa mali na rasilimali hapo kenya.
Ukufuatilia jinsi wanavyojibishana utaona wao ndio walitaka kusema Hayati na Ruto wanafanana kiajenda. Kuwa wao ndio wanaonekana yaani Ruto na Hayati Magufuli(kulingana na udadavuzi wa mleta mada) ndio wanatumia ati ni viongozi wanaowachukia mabepari na ni watumiaji wa Dola....kuwa wao ndio walitoa maagizo kuwa hayo matukio yatendeke. Shaabash na wanajua fika hata mahakamani hawawezi kupruv hayo....kazi yao ni ya kumezesha midubwasha yao. na Kubadilisha uhalisia....wana spin taarifa.... na wapo kazini.
 
Mkuu nyomi hizi ni kubwa mno kujaribu kuuhalalisha kirahisi rahisi mgogoro kihivyo.

View attachment 2568407

Zingatia polisi walihusika Jana kupiga waandishi na kushadadia shamba la uhuru kuhujumiwa:
Ngoja tuone kama wataweza kuvumilia mali na vitega uchumi vyao kuharibiwa huwez kufanya fujo Kwa Raisi aliyechaguliwa kapeleka Kesi mahakamani huko amechemka na asipokuwa makin Mzee odinga akina Rutto watamuondoa kabisa dunian ki namna wanavyojua wao
 
Ndugu Brazaj. Nilikwambia waandamanaji wakiadvance uelekeo wa maandamano Yao, ntaunga mkono maandamano Kenya.

Ingawa move hiyo imeanzisha Kwa hila under Tolu, bt wanakoelekea ni kuwa fungua macho wananchi wadai ardhi iliyo chini ya mabepari.

Wakitoka ktk mashamba ya freedom, waende Kwa mashamba ya Odii na waende Kwa mashamba ya tolu.

Tatizo la gharama za maisha litapungua ikiwa wananchi maskini watamiliki ardhi Kwa KILIMO na makazi.

Acha inyeshe, Tutaona panapovuja.
Wee jamaa umeona na ndiyo mwelekeo anayofanya Rutto kuonesha wapi ilipo chakula kuwa ardhi yenu ni hii hapa waende wakachukue Sasa kitimutimu chake sio Cha nchi hii
 
Back
Top Bottom