Wanahamasisha wananchi maskini maandamano wakati wamejimilikisha ardhi yote yenye rutuba.Sheria zingine za nchi bhana daaah! robo 3 ya nchi inamilikiwa na Raia mmoja tu na nchi yenyewe ina kilometers chache sana za miraba ya ardhi.
Africa, Africa, Africa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hamna tatizo, BAADAYE, watarudi tena kati.
Na baada ya hapo, hayupo tena Mwanasiasa atakayewadanganya wananchi Kwa interest zake.
Ukombozi wa Kweli utapatikana.
Mungu ibariki pembe ya Africa,
Mungu ibariki NYIKANI,
Itunze Kwa Ukombozi wa Dunia Kwa ajili ya watakatifu.
Ameen.
Sasa,ni nini hukufanya uingie kwenye mijadala(jieleweshe maana ya mijadala)wakati huwa unakuwa na majibu yako?Ungeenda hata kwa katibu wako wa chama chako mjadili kuuza kadi.Ni mpuuzi na mpumbavu kama wewe ndio anayeweza kushindwa kuona anachotaka kuelewesha....ambacho hakuna. Zaidi ya kuweka correlation ya Ruto na Hayati. Sasa nenda ukabishe huko na akili yako unayoita akili
.. Mie ndio nilichoambulia hapo. Usinichagulie tafsiri.
Mahakama kuu ilishatatua hiliMakamishna 8 wa tume kuu ya uchaguzi hawakukataa bure kukubaliana na matokeo kuwa Rais Ruto alipita kihalali, kuna kitu kipo nyuma ya pazia na muda ni mwalimu sahihi wa majibu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hoja imeeleweka wazi kwa wenye uelewa mzuri.Mkuu we nae ni bure una hoja lakini hujaileta vyema.
JohnDuh
Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?
Yajayo yanafurahisha, wanaojitokeza kwenye maandamano niwengi kuliko waliomchagua Raisi na makamu wake fake....kwa hili lakuchoma moto mali za familia za Raisi mstaafu wametia moto kwa petroli.... wataikimbia ikulu wenyewe majambazi hawa... system ilimsaidia sn huyu Ruto kuingia madarakani, ndomana wale wa-Venezuela waliokamatwa na vifaa vya kupigia kura KINOTI aliwaachia kinyemela, hata kujiuzulu kwa KINOTI ni danganya toto wote wamehusika kumpora RAILA ushindi wake, jopo la majai na jaji mkuu wote ni VIBARAKA wa Ruto, sasa watajua maharage ni Mboga, wizi kwenye mradi wa Arror na kimwarer dam, wamemalizana kimya kimya na Wataliano juzi, kashfa ya wizi kwenye county wa makamu wa raisi kesi imefutwa, Aisha Jumwa anayekabiliwa na kesi ya mauaji bila aibu kahongwa uwaziri sasa unamshitakije? , Kenya KWISHA .Jana Machi 27, shamba la familia ya Rais Mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta lilivamiwa na uharibifu pamoja na wizi kufanyika. Shambani humo moto mkubwa uliwashwa; miti ya mbao na nguzo ilikatwa na wizi wa mali mbalimbali wakiwemo mamia ya kondoo ulifanyika.
Tundu Lissu, mnamo Septemba 7, 2017 alishambuliwa kwa risasi na 'watu wasiojulikana' kulikokuwa nyumbani kwake Area D, jijini Dodoma. Lissu alipata maumivu makali na shambulio hilo limemuachia 'ulemavu' wa kudumu mwilini na akilini mwake.
Ni utaratibu wa dunia nzima kuwa makazi na mali za viongozi wakuu wastaafu kulindwa kwa namna yoyote. Hata makazi yao baada ya kustaafu hulindwa na askari wanaobadilishana zamu kila uchao. Sasa Kenyatta wawili wameshakuwa marais wa Kenya.
Ni utaratibu wa nchi yetu kuwa makazi ya Mawaziri, Ofisi ya Spika na Wabunge kule Dodoma hulindwa kila uchao kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa viongozi wetu hao. Lissu alikuwa Mbunge na alikuwa akiishi kwenye makazi yaliyokuwa na ulinzi mkali, Area D.
Wakati wa uvamizi wa shamba la Kenyatta jana hakukuwa na wala hawakufika maafisa wa usalama-kama polisi kwa ajili ya kulinda shamba hilo dhidi ya uvamizi huo. Hata Septemba 7, 2017 Area D wakati wa shambulio la Lissu haikuwa na ulinzi kama ilivyokuwa kawaida yake. Inashangaza na kutafakarisha.
Raila Odinga si wa kupuuzwa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba ( safarini Nairobi, Kenya)
Alishambuliwa katika eneo linalolindwa na polisi 24/7 ndiyo ilikuwa point ya mleta mada.Duh
Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?
Kufanana kwa scenarios hizi mbili ni pale polisi wa zamu wanapokosekana eneo lao la kazi ambalo wapaswa kuwepo 24/7, kwanini polisi wakosekane muda wa shambulio?Mbona unaongelea scenario mbili ambazo ni incomparable? Yaani tukio la uvamizi wa tundulissu linaonekana ni wazi ni la kijasusi na kigaidi na wahusika wanaoneka walikuwa na connection au na mahusiano na viongozi wa serikali na ndio maana hadi leo kesi imezima na hakuna mtu kaguswa.
Sasa hilo tukio la shamba la Kenyatta ni wazi ni tukio la kijamii ambapo raia ambao wameishi katika maisha ya kimasikini na kukosa access ya kutumia ardhi wameamua kufanya uharibifu wa moja kwa moja kama njia ya kuonyesha machungu na kisasi kwa ukosefu wa haki katika umiliki wa mali na rasilimali hapo kenya.
Tatizo haliko Africa peke yake tena nchi za magharibi ndiyo kuna tatizo ni kubwa zaidi la uwiano wa umiliki wa ardhi.Sheria zingine za nchi bhana daaah! robo 3 ya nchi inamilikiwa na Raia mmoja tu na nchi yenyewe ina kilometers chache sana za miraba ya ardhi.
Africa, Africa, Africa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
CW wa Bunge, fisi maji weweDuh
Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?
Aende mahakamani.
Nenda mahakamani
....haya wewe ndie unaejifanya umeelewa, umeelewa nini? manake sijaona umebandika lelote lenye kuonyesha huo uwerevu unaojipachika....Nieleweshe
πππMuwe mnasoma kwanza. Mzee amefanya comparison analysis ya matukio mawili wewe un jump kisa ametajwa lisu?
Kalenjin na Kikuyu ni ziada kwenye ugomvi huoKinachotokea huko Kenya ni sehemu ya siasa za mvutano kati ya Raila na Rutto...
brazaj
Ukufuatilia jinsi wanavyojibishana utaona wao ndio walitaka kusema Hayati na Ruto wanafanana kiajenda. Kuwa wao ndio wanaonekana yaani Ruto na Hayati Magufuli(kulingana na udadavuzi wa mleta mada) ndio wanatumia ati ni viongozi wanaowachukia mabepari na ni watumiaji wa Dola....kuwa wao ndio walitoa maagizo kuwa hayo matukio yatendeke. Shaabash na wanajua fika hata mahakamani hawawezi kupruv hayo....kazi yao ni ya kumezesha midubwasha yao. na Kubadilisha uhalisia....wana spin taarifa.... na wapo kazini.Mbona unaongelea scenario mbili ambazo ni incomparable? Yaani tukio la uvamizi wa tundulissu linaonekana ni wazi ni la kijasusi na kigaidi na wahusika wanaoneka walikuwa na connection au na mahusiano na viongozi wa serikali na ndio maana hadi leo kesi imezima na hakuna mtu kaguswa.
Sasa hilo tukio la shamba la Kenyatta ni wazi ni tukio la kijamii ambapo raia ambao wameishi katika maisha ya kimasikini na kukosa access ya kutumia ardhi wameamua kufanya uharibifu wa moja kwa moja kama njia ya kuonyesha machungu na kisasi kwa ukosefu wa haki katika umiliki wa mali na rasilimali hapo kenya.
Ngoja tuone kama wataweza kuvumilia mali na vitega uchumi vyao kuharibiwa huwez kufanya fujo Kwa Raisi aliyechaguliwa kapeleka Kesi mahakamani huko amechemka na asipokuwa makin Mzee odinga akina Rutto watamuondoa kabisa dunian ki namna wanavyojua waoMkuu nyomi hizi ni kubwa mno kujaribu kuuhalalisha kirahisi rahisi mgogoro kihivyo.
View attachment 2568407
Zingatia polisi walihusika Jana kupiga waandishi na kushadadia shamba la uhuru kuhujumiwa:
Wee jamaa umeona na ndiyo mwelekeo anayofanya Rutto kuonesha wapi ilipo chakula kuwa ardhi yenu ni hii hapa waende wakachukue Sasa kitimutimu chake sio Cha nchi hiiNdugu Brazaj. Nilikwambia waandamanaji wakiadvance uelekeo wa maandamano Yao, ntaunga mkono maandamano Kenya.
Ingawa move hiyo imeanzisha Kwa hila under Tolu, bt wanakoelekea ni kuwa fungua macho wananchi wadai ardhi iliyo chini ya mabepari.
Wakitoka ktk mashamba ya freedom, waende Kwa mashamba ya Odii na waende Kwa mashamba ya tolu.
Tatizo la gharama za maisha litapungua ikiwa wananchi maskini watamiliki ardhi Kwa KILIMO na makazi.
Acha inyeshe, Tutaona panapovuja.
Muulize Sirro au Bashite.Duh
Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?