Kashindwa kuweka vioanishi kwa mpanglio rahisi kwa msomaji.Mkuu we nae ni bure una hoja lakini hujaileta vyema.
Mnadhimu wa kambi ya upinzani ndo maana aliishi area DDuh
Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?
Ngoja tuone kama wataweza kuvumilia mali na vitega uchumi vyao kuharibiwa huwez kufanya fujo Kwa Raisi aliyechaguliwa kapeleka Kesi mahakamani huko amechemka na asipokuwa makin Mzee odinga akina Rutto watamuondoa kabisa dunian ki namna wanavyojua wao
Mnadhimu wa kambi ya upinzani ndo maana aliishi area D
Lissu alikuwa Mbunge na alikuwa akiishi kwenye makazi yaliyokuwa na ulinzi mkali, Area D.Duh
Tundu Lisu alikuwa na Cheo gani?
Ameongea maneno meengi,lkn hajasema chochote,ni ushuuzi mtupu.Concern ya mtoa mada haijaeleweka kwako, na haita eleweka kwa wengi wenye akili ndogo.
Na wamesaidiwa kufanya uporaji na kuiba mifugo, wakishakula na kikaisha,Wee jamaa umeona na ndiyo mwelekeo anayofanya Rutto kuonesha wapi ilipo chakula kuwa ardhi yenu ni hii hapa waende wakachukue Sasa kitimutimu chake sio Cha nchi hii