Tafakari yangu juu ya mchezo wa jana kati ya singida black stars dhidi ya simba

Tafakari yangu juu ya mchezo wa jana kati ya singida black stars dhidi ya simba

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1,846
Reaction score
2,754
Kwanza kabisa jana sijaona burudani ya mpira zaidi ya ubabe na makandamizo kwa walima alizeti wa singida.

Hamnza anatoa kona refa anaweka goal kick, kibu anatoa mpira alafu wanarusha wao wenyewe tena, kibendera anaelekea kwake refa wa kati naye anaelekea kwake, umakini mdogo sana.

Azam tv nao ni wahujumu wa soka letu kuna matukio ya maana ambayo ilitakiwa wayarudie, ila wakauchuna ili kuwalinda marefa.

Wanawafichia maovu, mchanganya picha naye bado sana.

Goal la kibu mbumbumbu walizulumiwa live bila chenga, yule refa bora akalime hata miwa tu kama hana kazi nyingine.
 
Yupe Kipa Singida mrefu for nothing.....mzembe sanaa goal mbili kosa lile lile....
 
Yupe Kipa Singida mrefu for nothing.....mzembe sanaa goal mbili kosa lile lile....
Nasikia muamala ulishasoma kwake mapema tu kwasababu kwa kipa makini awezi kutoka vile kama akuwa na uhakika wa kuudaka ule mpira
 
Kwamba
Nasikia muamala ulishasoma kwake mapema tu kwasababu kwa kipa makini awezi kutoka vile kama akuwa na uhakika wa kuudaka ule mpira
Kwamba alijigomboa mapema
 
Kwanza kabisa jana sijaona burudani ya mpira zaidi ya ubabe na makandamizo kwa walima alizeti wa singida.

Hamnza anatoa kona refa anaweka goal kick, kibu anatoa mpira alafu wanarusha wao wenyewe tena, kibendera anaelekea kwake refa wa kati naye anaelekea kwake, umakini mdogo sana.

Azam tv nao ni wahujumu wa soka letu kuna matukio ya maana ambayo ilitakiwa wayarudie, ila wakauchuna ili kuwalinda marefa.

Wanawafichia maovu, mchanganya picha naye bado sana.

Goal la kibu mbumbumbu walizulumiwa live bila chenga, yule refa bora akalime hata miwa tu kama hana kazi nyingine.
Muwe mnaangalia mpira vizuri bana sio kulalamika lalamika malalamiko fc , ile aliyotoa Hamza kulikuwa na offside kwa mchezaji wa singida angalia vzr utaona sio unalalamika tyu

Ubaya ubwelaa
 
Muwe mnaangalia mpira vizuri bana sio kulalamika lalamika malalamiko fc , ile aliyotoa Hamza kulikuwa na offside kwa mchezaji wa singida angalia vzr utaona sio unalalamika tyu

Ubaya ubwelaa
We kweli mbumbumbu na huwezi kuuficha umbumbumbu wako offside ipi ambayo mpira anakua nao beki alafu iwe offside?? Duu ya umbumbumbuni hayawezekani
 
Mechi ya jana ni aibu kwenye soka
Hiyo si habari Mkuu, ligi yetu imevamiwa na kuendeshwa na wahuni, wanalazimisha ushindi kila mechi ili kombe lisiende uto ila derby itawastopisha na kupindua meza. Watatahayari na hiyo inaitwa mbio za sakafuni, kwasasa si ajabu mechi kuchezwa dkk 200 hadi kolo wapate goli ndo mpira uishe, inatia kichefuchefu kuangalia mechi zao.

Huwa naamini wasiofanya kazi ofisi zile ambazo kunyoa unakuwa makini, mtaani unajificha kuogopa media, kesi inaweza kukufuata hata ukiwa umestaafu basi basi wasio humo huwa maadili yao ni zero.

Ligi yetu kwasasa ni uhuni mtupu na aibu hawana maana Azam inaonesha magumashi yote laivu.

Yanga bingwa!
 
Narudia kuangalia saahizi itoshe kusema Marefa wajana hasa line 1 ni zaidi ya Majambazi.
Ila kwakua Simba imeshimda Wacha tufunike Kombe.
Niwapongeze bench na wachezaji wa Singida kwa uvumilivu.
Ingekua mambo Yale inafanyiwa Simba , viti vingeng'olewa uwanjani.
 
Kipengele kipi kilichokukera mbona kwenye goal la kibu nimesema hakutendewa haki
Uzi umejaa malalamiko kuanzia kwako mleta mada hadi wachangiaji. Inatosha sasa.

Kama nyie mnafumbia macho upendeleo unaofanywa kwa Yanga na hadi kuutetea, basi fungeni midomo yenu kama mnaona na wengine wanapendelewa.

Mnalalamika hadi maamuzi ya mpira wa kurushwa!!
 
Uzi umejaa malalamiko kuanzia kwako mleta mada hadi wachangiaji. Inatosha sasa.

Kama nyie mnafumbia macho upendeleo unaofanywa kwa Yanga na hadi kuutetea, basi fungeni midomo yenu kama mnaona na wengine wanapendelewa.

Mnalalamika hadi maamuzi ya mpira wa kurushwa!!
Kwahiyo kwakuwa ni wakurusha sio kosa??? Acha mapendo wewe angalia haki. Mbumbumbu lialia
 
Nafsi zenu zinawasuta kwa maana mmezoea kudhulumu wengine. Mnaona kila anachofanya Simba anapendelewa. Mpira wa kurushwa nao wa kuanzishia uzi?
Sawa wazee wa gusa anguka tupate penalti, na muda si mrefu ile milio yenu ya GSM anaharibu ligi itaanza
 
Sawa wazee wa gusa anguka tupate penalti, na muda si mrefu ile milio yenu ya GSM anaharibu ligi itaanza
Baada ya supu za vibudu wote mnaongea habari za milio kama maroboti vile. Jifunzeni kufikiri kwa akili zenu siyo mnaendeshwa tu kama misukule.
 
Uzi umejaa malalamiko kuanzia kwako mleta mada hadi wachangiaji. Inatosha sasa.

Kama nyie mnafumbia macho upendeleo unaofanywa kwa Yanga na hadi kuutetea, basi fungeni midomo yenu kama mnaona na wengine wanapendelewa.

Mnalalamika hadi maamuzi ya mpira wa kurushwa!!
Hivi hujawazoea Tu watu wanalalamika Hadi maamuzi ya CAF eti Simba ndio walianzisha vurugu dhidi ya WaTunisia. Hawa shabiki ni kuwasamehe kuna kocha wao mzungu aliwahi Kuwaita 'manyani'😂😂
 
Back
Top Bottom