Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
- Thread starter
- #21
Kama mzee wetu rage tu, kuwaita mbumbumbu aliona mbali sana
Hivi hujawazoea Tu watu wanalalamika Hadi maamuzi ya CAF eti Simba ndio walianzisha vurugu dhidi ya WaTunisia. Hawa shabiki ni kuwasamehe kuna kocha wao mzungu aliwahi Kuwaita 'manyani'😂😂