Tafakari yangu juu ya mchezo wa jana kati ya singida black stars dhidi ya simba

Kama mzee wetu rage tu, kuwaita mbumbumbu aliona mbali sana
Hivi hujawazoea Tu watu wanalalamika Hadi maamuzi ya CAF eti Simba ndio walianzisha vurugu dhidi ya WaTunisia. Hawa shabiki ni kuwasamehe kuna kocha wao mzungu aliwahi Kuwaita 'manyani'๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kama inauma chomoa huo mwiko
 
Uliza shabiki yoyote WA UTO atakuambia Fujo walianzisha Simba SASA hapo kuna mwenye akili hata mmoja? Timu inayoongoza kuwa na shabiki wasio na elimu๐Ÿ˜„ hata macho hawana.
Mbumbumbu tulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ