Tafakuri huru: Choma choma moto ya Ofisi za Vyama vya Siasa, siyo janja janja ya kutafuta kura za Huruma ya Wananchi?

Tafakuri huru: Choma choma moto ya Ofisi za Vyama vya Siasa, siyo janja janja ya kutafuta kura za Huruma ya Wananchi?

Mkuu nimeyasoma yote! Nazani sote tulisoma mambo ya Comprehesion kwenye somo la English, Kichwa tu cha habari kimeonyesha mtazamo wako ni kujaribu kushawishi jamii iyaone matukio hayo haramu kama maigizo na mambo ya kutaftia kiki kwa wananchi, kitu ambacho si kweli na hakina kabisa uhalisia wowote na matukio hayo! Nani hazifahamu tabia au nature za DC Sabaya au RC Chalamila?? Mbona hata majuzi tu hapa Mbunge Sugu kakamatwa akichukuwa form ofisi ya NEC? Kwanini Hatjasikia hayo yakitokea kwa mgombea wa CCM Tulia aksoni ambaye kwanza alishaanza kampeni hata kabla ya wakati?
Unajua chifu nini, haingii akilini mtu achome office halafu ategemee kupata kura, something bullshit, and poorly-thought tactic
 
Kwani polis wako wapi? Ccm endeleeni kugeuzwa maneno.Sikh zikianza kuchomwa za ccm mfululizo msilielie
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwakweli Mungu ni mwema kwa ametupa siku ya leo tena.
Ndugu zangu, inapotekea vipindi kama hivi, watu wanatafuta kura, watatumia mbinu mbali mbali, hasa wale ambao wenye sera mfirisi. Nimejiuliza maswali kadhaa hivi:
  1. Je, ni kweli Chama Cha Mapinduzi (CCM), wachome moto ofisi ya chama cha siasa ili wajipatie kura?
  2. Kura zinatokana na kuchoma moto office ya chama cha siasa?
  3. Je, mnazijua vizuri huruka za wabunge wa majimbo ambako office hizo zimechomwa moto? Wengine si wako kwenye idala ya ujasusi wa vyama hivyo?
  4. Je, uwezekano wa kujichomea haupo pale kweli?
  5. Kwani haya matukio hayawezi kuwa na correlation na hili (
  6. Je, huu si mpango wa kuharibu taswira ya uchaguzi, ili matamko kama ya balozi fulani hivi kuwa na nguvu?
  7. Je, inakuaje mgombea fulani hivi anafanya dhiara mpaka usiku (

Ushauri wangu kwa vyama kama hivi, wajikite kwenye sera tu, sisi wananchi tunawasikia, tutawapima, then tutafanya maamuzi October, 28, 2020.

Asante,
Nawasilisha,
Kejuu

Una masikio na akili kama ya Kenge!

Kwani umesahau toka enzi za Mwigulu Nchemba?
 
CCM wacheni utoto wenu, mnachoma moto ofisi za Chadema maeneo ambayo mnajua wazi hamkubaliki ili muwatishe wapiga kura wa maeneo hayo wasijitokeze siku ya kwenda kupiga kura, mnajidanganya, mjue fika KURA ZITAPIGWA NA MSHINDI HALALI ATATANGAZWA.

Hayo maigizo yenu ya kitoto mnayoleta mnapoteza muda tu, liwake jua inyeshe mvua, pakuche pasikuche, lazima wapinzani wa maeneo hayo washinde, wenyewe mmejionea muziki wa Lissu ndio maana mmeanza kutetemeka.
wewe ni mpumbavu kw kweli. kwani ukichoma ndio utakubalika . Chadema mnachoma wenywewe ili ccm ionekane wabaya. alafu mnatafuta siku lissu anakuja ndio mnachoma ili iwe story kubwa siku hiyo. kwann mnatoa baadhi ya vitu ndio mchome? Na kwanini siku zoote wasichome. alafu hizo nyumba sio za kwenu ndio maana hamna uchungu wakuzichoma
 
wewe ni mpumbavu kw kweli. kwani ukichoma ndio utakubalika . Chadema mnachoma wenywewe ili ccm ionekane wabaya. alafu mnatafuta siku lissu anakuja ndio mnachoma ili iwe story kubwa siku hiyo. kwann mnatoa baadhi ya vitu ndio mchome? Na kwanini siku zoote wasichome. alafu hizo nyumba sio za kwenu ndio maana hamna uchungu wakuzichoma
Mkuu, jamaa hawa akili zao wanazijua wenyewe. Hizi ni mbinu za kitoto kweli
 
Sawa mkuu, me naacha upuuzi. Ila, ukweli ndiyo huo
Ukweli gani Kama si dalili za upumbavu???
Hivi kwa akili yako tangu ofisi za chadema zianze kuchomwa Moto NI kwann wahusika hawakamatwi Kama kwenye matukio mengine?? Au NI kwamba unadharau uwezo was jeshi letu la Polisi??
 
Ukweli gani Kama si dalili za upumbavu???
Hivi kwa akili yako tangu ofisi za chadema zianze kuchomwa Moto NI kwann wahusika hawakamatwi Kama kwenye matukio mengine?? Au NI kwamba unadharau uwezo was jeshi letu la Polisi??
It's a highly likely an orchestrated move PERIOD
 
Inatafakarisha sana kama mtu alianguka kwa ulevi akasingizia kavamiwa, matukio yanafanana kabisa. Makamanda wamejipanga kweli kweli
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwakweli Mungu ni mwema kwa ametupa siku ya leo tena.

Ndugu zangu, inapotekea vipindi kama hivi, watu wanatafuta kura, watatumia mbinu mbali mbali, hasa wale ambao wenye sera mfirisi. Nimejiuliza maswali kadhaa hivi:
  1. Je, ni kweli Chama Cha Mapinduzi (CCM), wachome moto ofisi ya chama cha siasa ili wajipatie kura?
  2. Kura zinatokana na kuchoma moto office ya chama cha siasa?
  3. Je, mnazijua vizuri huruka za wabunge wa majimbo ambako office hizo zimechomwa moto? Wengine si wako kwenye idala ya ujasusi wa vyama hivyo?
  4. Je, uwezekano wa kujichomea haupo pale kweli?
  5. Kwani haya matukio hayawezi kuwa na correlation na hili (
  6. Je, huu si mpango wa kuharibu taswira ya uchaguzi, ili matamko kama ya balozi fulani hivi kuwa na nguvu?
  7. Je, inakuaje mgombea fulani hivi anafanya dhiara mpaka usiku (


Ushauri wangu kwa vyama kama hivi, wajikite kwenye sera tu, sisi wananchi tunawasikia, tutawapima, then tutafanya maamuzi October, 28, 2020.

Asante,
Nawasilisha,
Kejuu
Chadema ni wapumbavu sana
 
Inatafakarisha sana kama mtu alianguka kwa ulevi akasingizia kavamiwa, matukio yanafanana kabisa. Makamanda wamejipanga kweli kweli
Yaani ni mambo ya kitoto kweli
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwakweli Mungu ni mwema kwa ametupa siku ya leo tena.

Ndugu zangu, inapotekea vipindi kama hivi, watu wanatafuta kura, watatumia mbinu mbali mbali, hasa wale ambao wenye sera mfirisi. Nimejiuliza maswali kadhaa hivi:
  1. Je, ni kweli Chama Cha Mapinduzi (CCM), wachome moto ofisi ya chama cha siasa ili wajipatie kura?
  2. Kura zinatokana na kuchoma moto office ya chama cha siasa?
  3. Je, mnazijua vizuri huruka za wabunge wa majimbo ambako office hizo zimechomwa moto? Wengine si wako kwenye idala ya ujasusi wa vyama hivyo?
  4. Je, uwezekano wa kujichomea haupo pale kweli?
  5. Kwani haya matukio hayawezi kuwa na correlation na hili (
  6. Je, huu si mpango wa kuharibu taswira ya uchaguzi, ili matamko kama ya balozi fulani hivi kuwa na nguvu?
  7. Je, inakuaje mgombea fulani hivi anafanya dhiara mpaka usiku (


Ushauri wangu kwa vyama kama hivi, wajikite kwenye sera tu, sisi wananchi tunawasikia, tutawapima, then tutafanya maamuzi October, 28, 2020.

Asante,
Nawasilisha,
Kejuu

Vivyo hivyo kwa ukatili wenu mlisema Lissu alijipiga risasi, eti kwanini hakufa!
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwakweli Mungu ni mwema kwa ametupa siku ya leo tena.

Ndugu zangu, inapotekea vipindi kama hivi, watu wanatafuta kura, watatumia mbinu mbali mbali, hasa wale ambao wenye sera mfirisi. Nimejiuliza maswali kadhaa hivi:
  1. Je, ni kweli Chama Cha Mapinduzi (CCM), wachome moto ofisi ya chama cha siasa ili wajipatie kura?
  2. Kura zinatokana na kuchoma moto office ya chama cha siasa?
  3. Je, mnazijua vizuri huruka za wabunge wa majimbo ambako office hizo zimechomwa moto? Wengine si wako kwenye idala ya ujasusi wa vyama hivyo?
  4. Je, uwezekano wa kujichomea haupo pale kweli?
  5. Kwani haya matukio hayawezi kuwa na correlation na hili (
  6. Je, huu si mpango wa kuharibu taswira ya uchaguzi, ili matamko kama ya balozi fulani hivi kuwa na nguvu?
  7. Je, inakuaje mgombea fulani hivi anafanya dhiara mpaka usiku (


Ushauri wangu kwa vyama kama hivi, wajikite kwenye sera tu, sisi wananchi tunawasikia, tutawapima, then tutafanya maamuzi October, 28, 2020.

Asante,
Nawasilisha,
Kejuu


Mkuu si ungemalizia kabisa na zile risasi alizopigwa Lissu zilikuwa maandalizi ya kura za huruma 2020?

Mwaka huu mtasema sana na bado tunasubiri hadi mtapoyaita 'mma'.
 
Back
Top Bottom