Huwa sipendagi kujadili mada na wewe kwasababu nakufahamu kuwa huwezi kujibu hoja badala yake huwa una viroja vingi sana.Maana yake bila vyombo vya dola CCM hawana ujanja
1 SAMWELI 18
6 Hata ikawa, walipokuwa wakienda, hapo Daudi aliporudi baada ya kumwua yule Mfilisti, wanawake wakatoka katika miji yote ya Israeli, kwa kuimba na kucheza, ili kumlaki mfalme Sauli; wakatoka na matari, na shangwe, na vinanda.
7 Nao wale wanawake wakaitikiana wakicheza, wakasema, Sauli amewaua elfu zake, Na Daudi makumi elfu yake.
8 Basi Sauli akaghadhibika sana, na maneno haya yakamchukiza; akasema, Wamempa Daudi makumi elfu, na mimi wamenipa elfu tu; kuna nini tena awezayo kupata, isipokuwa ni ufalme?
9 Sauli akamwonea Daudi wivu tangu siku ile.
Wasaidizi wake walishajua kuwa mfalme anapenda sifa, wamemsifia miaka mitano sasa ndiyo anaijua reality.Magufuli hana mvuto kwa jamii, mengine ni maigizo tu ya kumfanya aamini anakubalika.
Mkuu acha ujinga, ujinga wenu,incompetency yenu,makaburi na ulafi wa madaraka uliopitiliza ndo unawafanya mtumie police,TISS,msajiri,tume na hata jwtz,Trump anauchaguzi tarehe 3 November,Je anatumia vyombo vya dola kukambiliana na Democrat? APM pale Malawi alitumia vyombo vya dola kukabiliana na MCP?Huwa sipendagi kujadili mada na wewe kwasababu nakufahamu kuwa huwezi kujibu hoja badala yake huwa una viroja vingi sana.
Kama bila dola ccm haina ujanja sasa maana ya chama kushika dola ni ipi?
Mana tupo kwenye uchaguzi mkuu vyama vyote vinagombea kushinda uchaguzi vishike dola ina maana ikitokea CUF wakashinda na wenyewe watakuwa Chama dola?
Sababu ndio njia inayoweza kuwafanya waendelee kubaki madarakaniFuraha ya ccm ni kuona mkulima akizidi kufilisika na maskini wakiwapeleka watoto wao kwa shule za Kata wapumbae zaidi. Nonsense.
Unaona unavyo puyanga ovyo sasa? Hapo umejibu swali lipi nililouliza?Mkuu acha ujinga, incompetency yenu,makaburi na ulafi wa madaraka uliopitiliza ndo unawafanya mtumie police,TISS,msajiri,tume na hata jwtz,Trump anauchaguzi tarehe 3 November,Je anatumia vyombo vya dola kukambiliana na Democrat? APM pale Malawi alitumia vyombo vya dola kukabiliana na MCP?
Nguvu inayotumika kumnadi ni kubwa mnomagufuli hakubaliki
Lakini kuna kizazi kimeanza kujitathmini na kupevuka .Sababu ndio njia inayoweza kuwafanya waendelee kubaki madarakani
Nnawasiwasi nahio hilo manake sio kwavile walivojazwa taifa juzi wakashangae wasaniiLakini kuna kizazi kimeanza kujitathmini na kupevuka .
Nnawasiwasi nahio hilo manake sio kwavile walivojazwa taifa juzi wakashangae wasanii