chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Hawajiamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watumishi wa umma hawana nyongeza za mishahara kwa mda wa miaka 5 na wawaziri kuendelea kufanya kazi wakati bunge lilishavunjwa wizara kuwa chini ya makatibu wakuuHivi ukiwauliza wananchii haya maswali machache watamjibu nini!?
kati ya ndege na ajira watachagua nini!?
Kati ya SGR na nyenzo za kilimo na masoko watachagua nini!?
Kati ya Umeme wa Stigler gorge na maji Safi unafikiri wananchi watachagua nini!?
Wamejibakizia vyeo kinyume cha sheria ili watumie kofia za uwaziri kuwarubuni/kuwahonga Wananchi miradi yetu(Iliyijengwa kwa kodi za Watanzania wote bila kujali itikadi zao.Watumishi wa umma hawana nyongeza za mishahara kwa mda wa miaka 5 na wawaziri kuendelea kufanya kazi wakati bunge lilishavunjwa wizara kuwa chini ya makatibu wakuu
Si kweli Yani katka kipindi ccm inatumia nguvu kubwa ni uchaguzi huu wakati tulitegemea hata kampeni wala kuandaa matamasha ya wasanii yasiwepo maana mgombea anajiuzaUmeona wapi wakimnadi? CCM wako buzy na shughuli zao kwanza hawakmbuki kama kuna uchaguzi.
Mkuu acha ujinga, ujinga wenu,incompetency yenu,makaburi na ulafi wa madaraka uliopitiliza ndo unawafanya mtumie police,TISS,msajiri,tume na hata jwtz,Trump anauchaguzi tarehe 3 November,Je anatumia vyombo vya dola kukambiliana na Democrat? APM pale Malawi alitumia vyombo vya dola kukabiliana na MCP?
walio sema kuwa upinzani umekufa sijui sahizi wana hali gani..[emoji848][emoji848][emoji848]
Umeona wapi wakimnadi? CCM wako buzy na shughuli zao kwanza hawakmbuki kama kuna uchaguzi.
Wale vijana hawana kazi za kufanya inasemekana walifata burudaniNnawasiwasi nahio hilo manake sio kwavile walivojazwa taifa juzi wakashangae wasanii
Kwani wananchi hawajui km kafanya makubwa?Kwani washaanza kumnadi mkuu? Acheni kupepesuka, hapo wanaelezea machache tu kutoka mengi aliyoyafanya! Subiri tume ipige kipyenga tuanze kampeni ya kitanda kwa kitanda, kama mtaambuli hata kura laki sita! Mwaka huu hadi Hashim Rungwe atawapiga bao. Viva Magu vivaaa, magufuli tano tena!
Kilchopo ni kwamba CCM hawatadanganya watu siku zote. Ipo siku.Nnawasiwasi nahio hilo manake sio kwavile walivojazwa taifa juzi wakashangae wasanii
Labda wanufaika lkn wengi dhoofu HaliKwani wananchi hawajui km kafanya makubwa?