Tafakuri kuhusu matokeo ya kidato cha 4 mwaka huu

Tafakuri kuhusu matokeo ya kidato cha 4 mwaka huu

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Kulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.?
Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la?
Au zamani elimu ilikuwa ngumu?
Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa kuliko sie?
Au elimu na ufundishaji umekuwa bora sana kiasi kwamba Div. 1.7 zinaweza kutolewa na darasa zima...? Mpaka siku hizi shule za kata ambazo zinakuwaga na ufaulu wa kawaida nao wanatoa 1.7 hata mbili...? Au mitihani ni rahisi zaidi kipindi hiki?

Hii inamaanisha nini..? Sio husda...ila ina inafikirisha mno Div. 1.7 siku hizi zimekuwa kama njugu...VIPI ELIMU NA UPIMAJI ULIKUWA UPI...WA KIPINDI KILE DIV. 1.7 INAWEZEKANA KUWA MOJA TU TANZANIA NZIMA...AU HIVI SASA..?
 

Attachments

  • Screenshot_20250123-143324.png
    Screenshot_20250123-143324.png
    280.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_20250123-143336.png
    Screenshot_20250123-143336.png
    282 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250123-143510.png
    Screenshot_20250123-143510.png
    370.9 KB · Views: 4
MODS HUU UZI SIO WA TAARIFA NI WA MAJADILIANO NA TAFAKURI, MSIUPELEKE KWENYE UZI WA TAARIFA YA MATOKEO.

Kulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.?
Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la?
Au zamani elimu ilikuwa ngumu?
Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa kuliko sie?
Au elimu na ufundishaji umekuwa bora sana kiasi kwamba Div. 1.7 zinaweza kutolewa na darasa zima...? Mpaka siku hizi shule za kata ambazo zinakuwaga na ufaulu wa kawaida nao wanatoa 1.7 hata mbili...? Au mitihani ni rahisi zaidi kipindi hiki?

Hii inamaanisha nini..? Sio husda...ila ina inafikirisha mno Div. 1.7 siku hizi zimekuwa kama njugu...VIPI ELIMU NA UPIMAJI ULIKUWA UPI...WA KIPINDI KILE DIV. 1.7 INAWEZEKANA KUWA MOJA TU TANZANIA NZIMA...AU HIVI SASA..?
Wamrudishe Prof. Ndalichako kwenye Secretary General ya Necta.
 
Back
Top Bottom