The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Mimi ni Klm na naipenda asili yangu na mambo yake yote,nini kimekufanya uone mimi naweza kuwa mtu wa tangaSizani lakini..
Mana hakuna mtu atkubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Klm na naipenda asili yangu na mambo yake yote,nini kimekufanya uone mimi naweza kuwa mtu wa tangaSizani lakini..
Mana hakuna mtu atkubali
Ahahah naona unaponda sana tanga huko mkuuMimi ni Klm na naipenda asili yangu na mambo yake yote,nini kimekufanya uone mimi naweza kuwa mtu wa tanga
Hawana maana wale,walishajikatia tamaa,Ahahah naona unaponda sana tanga huko mkuu
Kwa Sisi maveteran A ilikuwa inaanzia 81 sasa Kwa Gz inaanzia 75 unategemea niniKulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.?
Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la?
Au zamani elimu ilikuwa ngumu?
Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa kuliko sie?
Au elimu na ufundishaji umekuwa bora sana kiasi kwamba Div. 1.7 zinaweza kutolewa na darasa zima...? Mpaka siku hizi shule za kata ambazo zinakuwaga na ufaulu wa kawaida nao wanatoa 1.7 hata mbili...? Au mitihani ni rahisi zaidi kipindi hiki?
Hii inamaanisha nini..? Sio husda...ila ina inafikirisha mno Div. 1.7 siku hizi zimekuwa kama njugu...VIPI ELIMU NA UPIMAJI ULIKUWA UPI...WA KIPINDI KILE DIV. 1.7 INAWEZEKANA KUWA MOJA TU TANZANIA NZIMA...AU HIVI SASA..?
75 na 81 ina tofauti gani haswa ya kimsingi??Kwa Sisi maveteran A ilikuwa inaanzia 81 sasa Kwa Gz inaanzia 75 unategemea nini
Au kuna udini sana..fatiliaShule gani hiyo bila shaka ipo kusini au tanga
Jibu liko hapaKwa Sisi maveteran A ilikuwa inaanzia 81 sasa Kwa Gz inaanzia 75 unategemea nini
UONGOOOSkuizi madogo wanasoma, akitoka shule anaenda tuition akirud nyumban jion Ana homework mbili ya shulen na ya tuition...sio kama zamani unatoka shule unaenda kulima mihogo na kuchunga ngombe
Bora hata msonda...huyu mama kashastaafu labda...Wamrudishe Prof. Ndalichako kwenye Secretary General ya Necta.
Hi ndio imeharibu one za enzi zetu. mpaka heshima ya one imeshuka sasagrade inflation A ni 75 sio 81 tena
Kweli mkuuAu kuna udini sana..fatilia
Ahahahha wee bana weee kuna watu wakikusikia hapa jua huu ugomvi utaubeba peke yako mkuuHawana maana wale,walishajikatia tamaa,
Nimekaa mahali moja hivi kama wiki (chumbageni) saa tatu ndo wanatoka kufungua maduka sasa hapo ni maali pa kuishi watu kweli, niliswaki saa nne hiyo siku sitosahau
Kama A-level sio?...grade inflation A ni 75 sio 81 tena
Watu wanapambana.... Tembelea hizo shule ukajionee.Kulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.?
Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la?
Au zamani elimu ilikuwa ngumu?
Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa kuliko sie?
Au elimu na ufundishaji umekuwa bora sana kiasi kwamba Div. 1.7 zinaweza kutolewa na darasa zima...? Mpaka siku hizi shule za kata ambazo zinakuwaga na ufaulu wa kawaida nao wanatoa 1.7 hata mbili...? Au mitihani ni rahisi zaidi kipindi hiki?
Hii inamaanisha nini..? Sio husda...ila ina inafikirisha mno Div. 1.7 siku hizi zimekuwa kama njugu...VIPI ELIMU NA UPIMAJI ULIKUWA UPI...WA KIPINDI KILE DIV. 1.7 INAWEZEKANA KUWA MOJA TU TANZANIA NZIMA...AU HIVI SASA..?
Anafikiri ni Rahisi....Embu angalia matokeo ya MBAGALA ndio utajua wani” sio ubwabwa