Au wote turudi tukarudie mitihani tusafishe vyeti?Kulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.?
Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la?
Au zamani elimu ilikuwa ngumu?
Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa kuliko sie?
Au elimu na ufundishaji umekuwa bora sana kiasi kwamba Div. 1.7 zinaweza kutolewa na darasa zima...? Mpaka siku hizi shule za kata ambazo zinakuwaga na ufaulu wa kawaida nao wanatoa 1.7 hata mbili...? Au mitihani ni rahisi zaidi kipindi hiki?
Hii inamaanisha nini..? Sio husda...ila ina inafikirisha mno Div. 1.7 siku hizi zimekuwa kama njugu...VIPI ELIMU NA UPIMAJI ULIKUWA UPI...WA KIPINDI KILE DIV. 1.7 INAWEZEKANA KUWA MOJA TU TANZANIA NZIMA...AU HIVI SASA..?
Tanga tuko njema acha kutusakamaTanga plass mafia, unguja mtwara. Even kilwa yaani ukanda ule daah nao una shida sana
Naungana hoja na wewe! Ila tofauti na enzi zetu, mazingira ya kusoma na vitendea kazi hayakuwa rafiki kabisa! Sasa hivi vitabu ni vingi hata kama huna uwezo wa kuvinunua lakini ukiingia kwenye mtandao na bundle lako la jero, buku unajipatia kitabu bure kabisa! Pastpapers tena nyingine zimesolviwa zipo zoote! Pili, mwamko wa wazazi kuwasimamia watoto na kuibuka kwa shule binafsi kufundisha kibiashara, tuition muda wote, nk, nk, vimewezesha watoto wetu kumudu div 1.7! Tatizo liko kwenye ubunifu wa kudhihirisha kilichokwenye makaratasi ndo kilichokichwani na mikononi?Kulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.?
Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la?
Au zamani elimu ilikuwa ngumu?
Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa kuliko sie?
Au elimu na ufundishaji umekuwa bora sana kiasi kwamba Div. 1.7 zinaweza kutolewa na darasa zima...? Mpaka siku hizi shule za kata ambazo zinakuwaga na ufaulu wa kawaida nao wanatoa 1.7 hata mbili...? Au mitihani ni rahisi zaidi kipindi hiki?
Hii inamaanisha nini..? Sio husda...ila ina inafikirisha mno Div. 1.7 siku hizi zimekuwa kama njugu...VIPI ELIMU NA UPIMAJI ULIKUWA UPI...WA KIPINDI KILE DIV. 1.7 INAWEZEKANA KUWA MOJA TU TANZANIA NZIMA...AU HIVI SASA..?
Muache buchwa wangu analea 😁😁😁😁Shule yenu imejaa mabichwa komwe
Mkuu ujue wanakaza sana wale watotoWatavuna walichopanda
Yale maswali ya,Nchi inayolima chai kwa wingi Duniani,au waziri wa ulinzi wa Zanzibar au Congo ilipata uhuru mwaka gani hayapo tena...Mabadiliko ya mfumo wa maswali
Zamani ilikuwa maswali mengi afu complicated saivi
section A maswali10
section B maswali5
section C maswali5
section D essay 2 au 3
maswali ni ya story mpaka raha yani unapewa kastory linafuata swali unatamani waweke na muendelezo
Mkuu wee unatokea tanga sehemu ganiMapenzi kwanza shule baadae
SIKU HIZI 1.7 WALA SIYO TAMU KAMA ZAMANIKulikoni siku hizi kwenye elimu ya nchi hii.?
Ni kwamba sisi zamani tulikuwa na uwezo mdogo wa kiakili ama la?
Au zamani elimu ilikuwa ngumu?
Au watoto wa siku hizi wana akili na uwezo mkubwa kuliko sie?
Au elimu na ufundishaji umekuwa bora sana kiasi kwamba Div. 1.7 zinaweza kutolewa na darasa zima...? Mpaka siku hizi shule za kata ambazo zinakuwaga na ufaulu wa kawaida nao wanatoa 1.7 hata mbili...? Au mitihani ni rahisi zaidi kipindi hiki?
Hii inamaanisha nini..? Sio husda...ila ina inafikirisha mno Div. 1.7 siku hizi zimekuwa kama njugu...VIPI ELIMU NA UPIMAJI ULIKUWA UPI...WA KIPINDI KILE DIV. 1.7 INAWEZEKANA KUWA MOJA TU TANZANIA NZIMA...AU HIVI SASA..?
Mkuu mimi sio zao la Tanga,nimeandika tu wanaendekeza sana ngono kuliko kazi na hata elimuMkuu wee unatokea tanga sehemu gani
ni kweli mkuu hata dogo langu kapass kwa ufaulu mzuri japo hajanifikia ila kiukweli dogo alikua anasoma balaa yani mpaka inafika stage unamkataza dogo nenda kale utapata vidonda vya tumbo ye ni kupiga msuli tu, mpaka alinunua kitabu cha MBINU ZA KUFAULU MITIHANI dogo yani kajitahidi uwezo wake sikutarajia angeua hivi nilijua atapata wastani tu ila kapiga haswaMkuu ujue wanakaza sana wale watoto
Aaaah mapenzi sanaaaTanga tuko njema acha kutusakama
Mkuuu bora wewe..ni kweli mkuu hata dogo langu kapass kwa ufaulu mzuri japo hajanifikia ila kiukweli dogo alikua anasoma balaa yani mpaka inafika stage unamkata dogo nenda kale utapata vidonda vya tumbo ye ni kupiga msuli tu, mpaka alinunua kitabu cha MBINU ZA KUFAULU MITIHANI dogo yani kajitahidi uwezo wake sikutarajia angeua hivi nilijua atapata wastani tu ila kapiga haswa
Sizani lakini..Mkuu mimi sio zao la Tanga,nimeandika tu wanaendekeza sana ngono kuliko kazi na hata elimu
tatizo waliaminisha madogo elimu ni ufunguo wa maisha(meaning maisha yamefungwa)Kizazi hiki kinapiga sana shule, naishi karibu na shule ya kata, muda wao wa kurudi nyumbani ni saa 11 jioni na ukipita nyakati za usiku utawakuta wanajisomea pale shuleni.
Matokeo yao ya mwaka huu si haba wamejitahidi, maana hakuna aliyepata zero.
1.7 ni 1.7 tu.SIKU HIZI 1.7 WALA SIYO TAMU KAMA ZAMANI