Tafakuri kuhusu matokeo ya kidato cha 4 mwaka huu

Tunamshukuru raisi mama Samia suluhu Hasan kwa matokeo mazuri ya necta ya shule ya st Francis, na ya nchi kiujumla
 

Wasikutishe. Huku kitaa baada ya kumaliza shule maisha yanaenda kinyume nyume. ni wachache sana kati ya hao vipanga ambao hizo division 1 zitawakomboa. Wakifika chuo Kikuu mambo yanakuwa tofauti sana huwezi ona tofauti ya aliyekuja na div 1 na mwenye div 2 au 3. Kuna tofauti ya kukariri vitu na uwezo wa kuelewa mambo.Tena wengine hadi wanadisco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…