Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.

Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.

Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...

 
Tatzo Hawa 'maprofesa' wa kidini...no one takes them seriously
Unaonesha ujinga uliosomeshwa umekujaa tele. Hata kuitazama video hujaitazama umeshapata majibu.

Hakuna Profesa wa "kidini" hapo, sema kweli tu, ujinga uliojazwa unashindwa kutumia neno Wakiislam, ndiyo hayo hayo yanayoongelewa kwenye hiyo video.
 
Mb zimepanda.... Toa tu maelezo tutachangia... Ila kama mada video inahusu biashara ya utumwa kwa waabu na hyo video inatetea waarabu hawajafanya biashara ya utumwa.. Itakuwa wewe na huyo alioandaa documentary ni wajinga wote...
 
Kama hoja yako ni kuunga mkono hoja yake bila kuongeza mawazo/mtazamo wako na wengineo kwenye mada husika... hii inapelekea kuamini inawezekana wewe Mwanahamisi dada mkuu wa shule yetu pendwa
 
Summarize hapa kwa maandishi, kwa mtu mwenye limited bundle siku hizi hafungui video wanaiba sana mb.

Ni watu wanaotumia free WiFi na unlimited bundle ndio ujishughurisha na video zote, binafsi sijafunguwa.
 
Mb zimepanda.... Toa tu maelezo tutachangia... Ila kama mada video inahusu biashara ya utumwa kwa waabu na hyo video inatetea waarabu hawajafanya biashara ya utumwa.. Itakuwa wewe na huyo alioandaa documentary ni wajinga wote...
Usianze kukisia, kama hauna mb, tatizo ni lako sio letu. Wacha kulialia kwa hisia zako za kijinga.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Toa maelezo maada inahusu nini ?? Siwez kuangalia documentary ya dk 47 kama bado huja ni inspire...

Enewei... Kwa hyo unasema waarabu wanaonewa hawajafanya biashara ya utumwa... Ila wanawachafua...[emoji23][emoji23][emoji23]

Usianze kukisia, kama hauna mb, tatizo ni lako sio letu. Wacha kulialia kwa hisia zako za kijinga.
 
Summarize hapa kwa maandishi, kwa mtu mwenye limited bundle siku hizi hafungui video wanaiba sana mb.

Ni watu wanaotumia free WiFi na unlimited bundle ndio ujishughurisha na video zote, binafsi sijafunguwa.
Siwezi ku "summarize". Kama hauna mbinu za kupata free wifi na hauna bundle ni tatizo lako sio langu.
 
Back
Top Bottom