Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeitazama video na kinachozungumzwa hapo au umekuja kuzijadili "jazba"?Huu Uzi umeletwa kwa jazba jazba fulani hivi. Na mapovu mengi.
Usitumie nguvu nyingi Sana kutetea uovu wa wengine, tetea nafsi yako kwanza.
Mwingereza huyo huyo aliesema alimtuma Karl Peters kuja kueneza propanda za udini kwa niaba yake amzushie TippuTip.Tupe story yake, usifikiri kila mtu anakielewa ulichojazwa nacho wewe ujinga na ndiyo maana nimeweka video hapa ili tusiendelee kujaana ujinga.
Historia yote uliyosomeshwa shule ni uongo mtupu, juu chini, chini juu. Hivi upewe elimu na Mwingereza, mzungu, halafu yeye ajiponde? Fikiri japo kiduchu.
Yani Hawa waislam wako radhi hata kubadilisha Historia ili kutetea vipenzi wao WaarabuWaarabu walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa biashara ya utumwa na ujangili wa wanyamapori.
Hiyo historia itabaki hivyo, penda usipende.
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
Mbona unajitetea sana lakini mada iliyopo hujaijadili.Kufungua documentary while kifurushi kimepanda na mb nyingine wanaiba huko huko pia ni ujinga.
Hao maprofesa wako wasiojua tofauti ya L na R nao ni wajinga.
Unavyo disqualify dini za wengine nao ni ujinga
Na hapa utanijibu mbovu nao ni ujinga.
Unajua hizi races zote wazungu Na waarabu Ni wangese.....sema atleast wazungu sio wanafikiMwingereza huyo huyo aliesema alimtuma Karl Peters kuja kueneza propanda za udini kwa niaba yake amzushie TippuTip.
Haya mzungu muongo nani aliemwekea TippuTip sanamu kama mfanyabiashara maarufu wa utumwa Zanzibar.
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
Umeitazama video clip? Au unapayuka hata huelewi kilichoongelewa na kuoneshwa? Kama umeitazama, sasa tueleze nani aliyeibadilisha historia tena kwa picha na ushahidi wa wazi kabisa.Yani Hawa waislam wako radhi hata kubadilisha Historia ili kutetea vipenzi wao Waarabu
Wewe achana na uhovyo wangu, upo hapa kunijadili mimi au mada niliyoileta?
Wewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.Kuna video inatrend twitter mwarabu anamnyea dada wa kiafrika mdomoni
😅😂😂 Kwa hiyo unatetea uovu wa waarabu kwa mwavuli wa dini?Wewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.
Teknolojia inavyotumika vibaya siku hizi kwa kujazana ujinga, hata wewe unaweza kuwekwa unakula mavi.
Kwani umesahau Lema aliwekwa kwenye mitandao anafanywa nini? Ilikuwa ukweli ule?
Naam! Michoro ya picha inaweza kufikirika kuwa ina ukakasi na sehemu ya propaganda chafu katika kufikisha ujumbe wa wahusika wa biashara ya utumwa. Lakini vipi kuhusu picha halisi zilizopigwa wakati huo huku zikionyesha kwa uwazi kabisa uwepo wa mabwana wa Kiarabu na watumwa wa Kiafrika!?Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
😅😂😂 Kwa hiyo unatetea uovu wa waarabu kwa mwavuli wa dini?Wewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.
Teknolojia inavyotumika vibaya siku hizi kwa kujazana ujinga, hata wewe unaweza kuwekwa unakula mavi.
Kwani umesahau Lema aliwekwa kwenye mitandao anafanywa nini? Ilikuwa ukweli ule?
😅😂😂 Kwa hiyo unatetea uovu wa waarabu kwa mwavuli wa dini?Wewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.
Teknolojia inavyotumika vibaya siku hizi kwa kujazana ujinga, hata wewe unaweza kuwekwa unakula mavi.
Kwani umesahau Lema aliwekwa kwenye mitandao anafanywa nini? Ilikuwa ukweli ule?