FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #61
Ungeitazama na kuisikiliza video ungepata jibu.View attachment 2212053
Kwanini Zanzibar wana makumbusho hayo, nani muhusika wa kwenda kuwabeba hao watu kutoka bara hadi Zanzibar.
Hakuna jina la mwarabu hapo wa kutoka Oman bali mwafrika TippuTip.
Hao walishikwa na wajanja wenzao wakawauza. Na usijidanganye kuwa biashara ya utumwa imekwisha imebadilika jina tu, Samatta yuko wapi? Hashim Thabiti yuko wapi. Hauna nduguzo "wabeba maboksi" huko je?
Unafikiri kama si utumwa huo ni nini? Huo ndio utumwa mamboleo kama ulikuwa huelewi.
Hapa hapa Tanzania leo hii, mchimba madini wewe, madini yako kwenye ardhi yako wewe, lakini pengine hata Tanzanite huijuwi na kama unaijuwa huna hata kipini chenye Tanzanite, kama si mtumwa tu wa kuwachimbiwa wengine ni nini?