Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilatha,
Ali Aziz ikiwa unamkusudia huyu ambae alikuwa Immigration tukifahamiana lakini jina la mke wake silijui.
Mama yake Ali Aziz sisi tukimwita Mama Ali nikimfahamu pia akiishi Ilala.
Akina Kingui nawafahamu pia na Adam Kingui tumesoma sote St. Joseph's na tumekua pamoja Kipata Gerezani.
Dully Sykes ni mtoto wa Ebby Sykes na mimi na Ebby tumekuwa pamoja toka utoto wetu na anampata Dully mimi najua na nikimjua mama yake kutoka ukoo wa Aziz Ali.
Dully kwangu ni mtoto.
Mimi na Ebby Sykes babu zetu, bibi zetu na mama zetu walikuwa majirani toka miaka ya 1920s sisi hatujazaliwa.
Nimefurahi kuwa wewe ni mmoja wa koo hizi ambazo nami zimenihusu lau kwa mbali.
Nimehifadhi kumbukumbu nyingi za koo hizi na ningependa sana kujifunza zaidi kutoka kwako.
Mimi nimezaliwa Kipata 1952 mtaa ambao amezaliwa Hamza Aziz.
Tuache kwanza, tupo na kazi ya mama, katutuma tunamtafutia wakunaji mahiri.Unaonesha ujinga uliosomeshwa umekujaa tele. Hata kuitazama video hujaitazama umeshapata majibu.
Hakuna Profesa wa "kidini" hapo, sema kweli tu, ujinga uliojazwa unashindwa kutumia neno Wakiislam, ndiyo hayo hayo yanayoongelewa kwenye hiyo video.
Sio walikuwa ni mpaka sasa waarabu wengi ndo biashara zao,na ndo maana ni rahisi kumkuta mwarabu anaishi vijijini kabisa lakini hakosi gobore nyumbani kwake.maisha mazuri lakini utamsikia anasema ami wake kutoka oman anawapa misaada.Waarabu walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa biashara ya utumwa na ujangili wa wanyamapori.
Hiyo historia itabaki hivyo, penda usipende.
Ni mdini balaaBibi wa Kariakoo anamwaga mashushu si mchezo.
Mi siondoki hadi mtoane damu hapa.
[emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3] bibi ana mipasho huyu khaaaah.Mbona unajitetea sana lakini mada iliyopo hujaijadili.
Kama mumemo kashindwa kukupa hata kifurushi ujifaraguwe kwa raha zako, tatizo liwe langu? Au huna mume?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kule Angola na Msumbiji Wamisionari wa Katoliki wa Kireno ndio waliokuwa wakiongoza operesheni kamata watumwa na kuwasafirisha kupitia Bahari ya Atlantic katika kile kilichoitwa Trans Atlantic Slave Trade. Ilifikia mahali Malkia Nzinga Mbandi wa Angola akaanzisha vita dhidi ya Wareno ili kuwahami watu wake. Kwa miaka 400 Waafrika wameuzwa utumwani na Wazungu lakini huwezi kusikia hata humu watu wakiwatuhumu Wazungu kwa utumwa na hii ni ishara ya udini pia.Waarabu walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa biashara ya utumwa na ujangili wa wanyamapori.
Hiyo historia itabaki hivyo, penda usipende.
Utumwa ulitamalaki bara Ulaya na America, ushaidi upo hadi leo ndio maana tunawaona Mike Tyson na wengine.Waarabu walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa biashara ya utumwa na ujangili wa wanyamapori.
Hiyo historia itabaki hivyo, penda usipende.
Kilatha,Namzunguzia Aziz Ali aliekuwa police commissioner.
Well mama yake Dully Sykes uhusianp wake na Aziz Ali; bibi yake Dully Sykes mzaa mama ukoo wa Aziz Ali.
Marehemu Adam Kingui ni mjomba wangu kwa wanaonijua kwa jina they can see why ........ndio maana nikamuuliza huyu bibi wa kiarabu anaijua kweli Kariakoo, Gerezani na Ilala, ama anaropoka tu.
Anyway wacha nikuwache maalim tatizo huyu FaizaFoxy kuna wasaa anakera kama hii mada yake ya kukataa facts za historia ya utumwa na kutaka kujifanya mswahili kushinda waswahili wenyewe.
Tupe story yake, usifikiri kila mtu anakielewa ulichojazwa nacho wewe ujinga na ndiyo maana nimeweka video hapa ili tusiendelee kujaana ujinga.
Historia yote uliyosomeshwa shule ni uongo mtupu, juu chini, chini juu. Hivi upewe elimu na Mwingereza, mzungu, halafu yeye ajiponde? Fikiri japo kiduchu.