Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe Dada visa sanaWewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.
Teknolojia inavyotumika vibaya siku hizi kwa kujazana ujinga, hata wewe unaweza kuwekwa unakula mavi.
Kwani umesahau Lema aliwekwa kwenye mitandao anafanywa nini? Ilikuwa ukweli ule?
Siyo kila mtu ana bando la kuangalia sinema, kwa ufupi ulitakiwa ufunguke hata kwa muhtasali wa hao sijui wasomi au mapro tujue wameongea nini humo?.Unaonesha ujinga uliosomeshwa umekujaa tele. Hata kuitazama video hujaitazama umeshapata majibu.
Hakuna Profesa wa "kidini" hapo, sema kweli tu, ujinga uliojazwa unashindwa kutumia neno Wakiislam, ndiyo hayo hayo yanayoongelewa kwenye hiyo video.
Mambo ya majibu ya kijinga duniani ni kama hiliSiwezi ku "summarize". Kama hauna mbinu za kupata free wifi na hauna bundle ni tatizo lako sio langu.
waarabu walikuwa wanawauza watumwa America kuwa manamba kwenye mashamba ya wazungu.Wafrika na waarabu wote wabishi sana. Angalau Mwarabu anafanya ubinafsi wa kunufaisha kabila au rangi yake tofauti na mwafrika yeye ni Hand to mouth tu.
Swala la utumwa ni 100% ulianzishwa na mwarabu
Hata vitabu vya kale sana kama Quran na Biblia wanataja utumwa ktk maeneo mengi hadi walikuwa wanauzwa au kuuziana wanaoitwa wajakazi. Without going into much details ukweli utabaki hivyo.
Bila Mzungu kutuokoa na utumwa hadi leo ungekuwepo.
Kaka pokea👊🏾, umekomemti na kuuliza kikubwa sana, hii inaweza kunitoa nje ya kile ninachoweza kujibu ahahahaa...Asante sana kwa mada hii. Naomba kukiri mimi ni miongoni mwa tulio ingizwa chaka na michoro hii, kumbe tulikuwa tunadangwa kwa michoro ya kuchorwa, jee vipi kuhusu zile picha za camera, kama hizi
View attachment 2212044
nazo ni za uongo?.
PUdhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama
Wanabodi, Katika karibu kila jambo, kuna mazuri na mabaya yake, kama ilivyo kwa ukoloni, japo wakoloni walitunyonya, pia kuna mazuri, walituachia, ikiwepo elimu ya kisasa, walileta maendeleo mbambali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii vikiwemo viwanda, miundombinu, maendeleo ya kilimo, ila pia...www.jamiiforums.com
Ukajionee vizuri picha za utumwa zilivyobadilishwa, utapata faida ya kuujuwa ukweli. Kuuamini au kutokuuamini ni juu yako.Utatuwekea picha za utumwa, unapenda vitu vya kuumiza watu tu
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
Sema unatafuta mabwana tu humu huna lolote mdini mkubwa weweUkajionee vizuri picha za utumwa zilivyobadilishwa, utapata faida ya kuujuwa ukweli. Kuuamini au kutokuuamini ni juu yako.
Utumwa ulikuwa hauna "exclusivity" ya watu fulani. Kwa kukujuza tu, mpaka leo utumwa upo na Tanzania inatajwa ni nchi moja wapo inayofanya biashara hiyo, leo hii.
Hebu weka ushahidi kwenye hili la 100%Swala la utumwa ni 100% ulianzishwa na mwarabu
Asiye na bando asubiri mpaka atakapolipata bando. Sijaweka langu wangu watu wametaharuki, Jee nikiweka langu si patawaka moto hapa.Siyo kila mtu ana bando la kuangalia sinema, kwa ufupi ulitakiwa ufunguke hata kwa muhtasali wa hao sijui wasomi au mapro tujue wameongea nini humo?.
Kumbuka huu ni uchumi wa buluu kote kote!.
Udini tu umekujaa wewe AjuzaMara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Sema unatafuta mabwana tu humu huna lolote mdini mkubwa wewe
Labda huwaelewi tu, hao waliokudanganya kuwa Yesu mzungu unasema sio wanafiki, hao waliokudanganya kuwa fanya dhambi tu Yesu kishakubebea dhambi zako unasema siyo wanafiki. Hakika mmejazwa ujinga na mnauendeleza.Unajua hizi races zote wazungu Na waarabu Ni wangese.....sema atleast wazungu sio wanafiki
Wala hilo si jipya, mbona kuna uzi kabisa nimewawekea wanonitogoza au hujauona? Uzi upo humu miaka sasa, utafute tu.Sema unatafuta mabwana tu humu huna lolote mdini mkubwa wewe
Anhaa, umitazama video? Umeona ni nani anaeleta chokochoko? Usiiogope kajitazame mule ujione.Nchi ilitulia hii mmeanza tena chokochoko za kidini.... mnataka kuleta upya ile mihadhara yenu chechefu ya kipindi cha JK...
Pathetic fool.
"muhtsali" ndiyo nini? Dah! Ndiyo zilezile shule za kusomea ujinga!Siyo kila mtu ana bando la kuangalia sinema, kwa ufupi ulitakiwa ufunguke hata kwa muhtasali wa hao sijui wasomi au mapro tujue wameongea nini humo?.
Kumbuka huu ni uchumi wa buluu kote kote!.