Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Wewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.

Teknolojia inavyotumika vibaya siku hizi kwa kujazana ujinga, hata wewe unaweza kuwekwa unakula mavi.

Kwani umesahau Lema aliwekwa kwenye mitandao anafanywa nini? Ilikuwa ukweli ule?
Ila wewe Dada visa sana
 
Unaonesha ujinga uliosomeshwa umekujaa tele. Hata kuitazama video hujaitazama umeshapata majibu.

Hakuna Profesa wa "kidini" hapo, sema kweli tu, ujinga uliojazwa unashindwa kutumia neno Wakiislam, ndiyo hayo hayo yanayoongelewa kwenye hiyo video.
Siyo kila mtu ana bando la kuangalia sinema, kwa ufupi ulitakiwa ufunguke hata kwa muhtasali wa hao sijui wasomi au mapro tujue wameongea nini humo?.

Kumbuka huu ni uchumi wa buluu kote kote!.
 
Wafrika na waarabu wote wabishi sana. Angalau Mwarabu anafanya ubinafsi wa kunufaisha kabila au rangi yake tofauti na mwafrika yeye ni Hand to mouth tu.

Swala la utumwa ni 100% ulianzishwa na mwarabu


Hata vitabu vya kale sana kama Quran na Biblia wanataja utumwa ktk maeneo mengi hadi walikuwa wanauzwa au kuuziana wanaoitwa wajakazi. Without going into much details ukweli utabaki hivyo.

Bila Mzungu kutuokoa na utumwa hadi leo ungekuwepo.
waarabu walikuwa wanawauza watumwa America kuwa manamba kwenye mashamba ya wazungu.
 
Asante sana kwa mada hii. Naomba kukiri mimi ni miongoni mwa tulio ingizwa chaka na michoro hii, kumbe tulikuwa tunadangwa kwa michoro ya kuchorwa, jee vipi kuhusu zile picha za camera, kama hizi
View attachment 2212044
nazo ni za uongo?.
P
Kaka pokea👊🏾, umekomemti na kuuliza kikubwa sana, hii inaweza kunitoa nje ya kile ninachoweza kujibu ahahahaa...
 
Utatuwekea picha za utumwa, unapenda vitu vya kuumiza watu tu
Ukajionee vizuri picha za utumwa zilivyobadilishwa, utapata faida ya kuujuwa ukweli. Kuuamini au kutokuuamini ni juu yako.

Utumwa ulikuwa hauna "exclusivity" ya watu fulani. Kwa kukujuza tu, mpaka leo utumwa upo na Tanzania inatajwa ni nchi moja wapo inayofanya biashara hiyo, leo hii.
 
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.

Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.

Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...


Nchi ilitulia hii mmeanza tena chokochoko za kidini.... mnataka kuleta upya ile mihadhara yenu chechefu ya kipindi cha JK...

Pathetic fool.
 
Udini shida

Nina jirani Mkristo nusu sababu hata kanisani haijulikani lini mara ya mwisho aliksnyaga kazaa na Mwislamu .Anamhudumia vizuri tu yeye na mwanae na kamjengea nyumba na gari kamnunulia hajslazimisha mke wala mtoto wawe wakristo ila hataki kabisa mtoto wake mkewe ampeleke madrasa anasema kusoma madrasa mwanawe ataishia tu kuwa mchawi alisoma hayo madrasa hataki mwanawe awe mchawi

Kamkataza kabisa
 
Ukajionee vizuri picha za utumwa zilivyobadilishwa, utapata faida ya kuujuwa ukweli. Kuuamini au kutokuuamini ni juu yako.

Utumwa ulikuwa hauna "exclusivity" ya watu fulani. Kwa kukujuza tu, mpaka leo utumwa upo na Tanzania inatajwa ni nchi moja wapo inayofanya biashara hiyo, leo hii.
Sema unatafuta mabwana tu humu huna lolote mdini mkubwa wewe
 
japo nimezaliwa kwenye uislamu but wacha nibaki na uafrika wangu... hizi dini zimekuja kutugawa waafrika plus zimekuja ku ureplace utu ama ubinadamu. Sasa hivi binadamu badala ya kuji ona yeye ni mwanadamu anajiona yeye ni muislamu au mkiristu. Kazi kweli kweli.
 
Siyo kila mtu ana bando la kuangalia sinema, kwa ufupi ulitakiwa ufunguke hata kwa muhtasali wa hao sijui wasomi au mapro tujue wameongea nini humo?.

Kumbuka huu ni uchumi wa buluu kote kote!.
Asiye na bando asubiri mpaka atakapolipata bando. Sijaweka langu wangu watu wametaharuki, Jee nikiweka langu si patawaka moto hapa.

Kama unasema hujuwi ndiyo ubaki hujuwi. Sina cha kukusaidia hapo.
 
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.

Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.

Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...

Udini tu umekujaa wewe Ajuza
 
Unajua hizi races zote wazungu Na waarabu Ni wangese.....sema atleast wazungu sio wanafiki
Labda huwaelewi tu, hao waliokudanganya kuwa Yesu mzungu unasema sio wanafiki, hao waliokudanganya kuwa fanya dhambi tu Yesu kishakubebea dhambi zako unasema siyo wanafiki. Hakika mmejazwa ujinga na mnauendeleza.

Tumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu kabla hujatapika humu, maana uliyoyaandika ni matapishi tu, yanatia kinyaa.
 
Sema unatafuta mabwana tu humu huna lolote mdini mkubwa wewe
Wala hilo si jipya, mbona kuna uzi kabisa nimewawekea wanonitogoza au hujauona? Uzi upo humu miaka sasa, utafute tu.

Tatizo ni wewe usiye na bwana hata wa kukuwekea bando la kujifaragua mitandaoni, yaani Youtube wewe unaipiga chenga, pole yako.
 
Nchi ilitulia hii mmeanza tena chokochoko za kidini.... mnataka kuleta upya ile mihadhara yenu chechefu ya kipindi cha JK...

Pathetic fool.
Anhaa, umitazama video? Umeona ni nani anaeleta chokochoko? Usiiogope kajitazame mule ujione.

Unasema nchi ilitulia? Hujayaona humu JF yakitangazwa kila siku vinaokotwa viroba vya maiti baharini? Hujasoma humu JF kina Ben Saa nanena Gwanda wako wapi? Hujasoma humu Tundu Lissu kakosa kuuliwa katiwa ulema wa maisha> Huo ndiyo kikwenu utulivu?

Nakushauri ukajitazame kwenye video humo, usitake kujaza watu ujinga wasiokuwa nao.
 
Mambo ya majibu ya kijinga duniani ni kama hili
Majibu ya kiakili yapo kwenye video niliyoiweka, ya Professa wa uhakika. Umeitazama? Au ndiyo mpaka shemeji aje nyumbani ndiyo upate bando la uhakika?
 
Siyo kila mtu ana bando la kuangalia sinema, kwa ufupi ulitakiwa ufunguke hata kwa muhtasali wa hao sijui wasomi au mapro tujue wameongea nini humo?.

Kumbuka huu ni uchumi wa buluu kote kote!.
"muhtsali" ndiyo nini? Dah! Ndiyo zilezile shule za kusomea ujinga!

Wewe msubiri sheneji akija atakupa bando, usitegemee huruma za wana JF.
 
Back
Top Bottom