Dah ufananishe na wa Floyd juzi juzi, ukimaliza soma hii: 158 Resources for Understanding Systemic Racism in AmericaWe mwanamke unatumika hovyo sana. Uliona wapi mhalifu ajisafisha. Hata sasa weusi wengi wanafanyiwa unyama uarabuni. Hovyo kabisa!
Wafukunyua matope wazee wa kuchukia wayahudiYani Hawa waislam wako radhi hata kubadilisha Historia ili kutetea vipenzi wao Waarabu
Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.Wewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.
Teknolojia inavyotumika vibaya siku hizi kwa kujazana ujinga, hata wewe unaweza kuwekwa unakula mavi.
Kwani umesahau Lema aliwekwa kwenye mitandao anafanywa nini? Ilikuwa ukweli ule?
Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.
Kama una asili ya kiarabu kampambanie kwingine
Sisi tunawafahamu watu kama wewe, hilo Uarabu ni geresga tu, nyinyi manchukia Uislam na Waislam kwa kujazwa ujinga tu.Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.
Kama una asili ya kiarabu kampambanie kwingine
Halaf unashangaa mwishoni unakutana na moto tu, kumbe iman ilikua feki banawewe bibi unapenda kuendekeza sana udini udini ... you seems like a hater .... puke
Haki ipi ya kuongea kiarabu badala ya lugha yako halisi na kuvaa kama mwarabu ama kweli mtawatambua kwa matendo yao,mimi najiona bora kuliko mwarabu.
Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.
Kama una asili ya kiarabu kampambanie kwingine
umenena ukweli maana waarabu wanajiona kama mungu ndio kawapa dunia.
nilikosa mke kisa mimi mweusi na kuniita mtumwa
Bibi faiza ajuza kakutana na shaibu mudi.
Wanajaribu kupambana na ukristo mfumo ambao ndio uliwapa maisha ya kuutusi huku mitandani absurd.
Mkiona hii nchi imewashinda na hakika imeeashinda hamieni kwa wavaa kobazi wenzenu huko Afghan.
Historia haiwezi badilishwa kwa mihemko yenu na chuki za kinafiki.
#MaendeleoHayanaChama
Umejuaje Mimi mfuasi wa Paulo?
Nyumbu kuelewa ni kazi ngumu Sana mkuu yaani wavaa kobazi wakisikia mwarabu huja juu Kama wanavyo wahi kula dakuKwani hilo neno kafiri ukisema mpingaji unapungukiwa nini kama si utumwa au ukitamka kwa kiarabu unapata thawabu?![emoji23]
Hujanijibu swaliHaya wewe ni mfuasi wa nani??
Na wewe haki yako uongee kama mzungu na kuvaa kama mzungu? Kabila gani wewe?Haki ipi ya kuongea kiarabu badala ya lugha yako halisi na kuvaa kama mwarabu ama kweli mtawatambua kwa matendo yao,mimi najiona bora kuliko mwarabu.
Mnaumia na kuteseka ndani kwa ndani,,,hiyo video imewaumbua kweli kweli enyi wagalatia.
Kwa taarifa yako, waarabu huwafikii hata robo ya utu, ukarimu na roho nzuri waliyonayo. Sio kama nawatetea, ukweli ndio huo ewe naswara/yahudi.
Hujanijibu swali
kweli nimeumia kwa kuwa nakuta maandishi ya quruani ya kiarabu mkasema ni mcharazo wa waarabu