Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

We mwanamke unatumika hovyo sana. Uliona wapi mhalifu ajisafisha. Hata sasa weusi wengi wanafanyiwa unyama uarabuni. Hovyo kabisa!
Dah ufananishe na wa Floyd juzi juzi, ukimaliza soma hii: 158 Resources for Understanding Systemic Racism in America

Kama huelewi Kingereza na huelewi kutumia google translate, omba msaada, Waislam tutakupa elimu.

AlhamduliLlah kwa mafundisho ya Kiislam kumpa mtu elimu ni sadaka kubwa sana, usiwe na hofu ya kuuliza.
 
Wewe una uhakika gani kuwa huyo ni Mwarabu na huyo ni Mwafrika, ndiyo mliozowea kjazwa ujinga kila mnalooneshwa kwenye mtandao mnaamua kuwa ni la kweli Si kila unaloliona kwenye mtandao ni la kweli.

Teknolojia inavyotumika vibaya siku hizi kwa kujazana ujinga, hata wewe unaweza kuwekwa unakula mavi.

Kwani umesahau Lema aliwekwa kwenye mitandao anafanywa nini? Ilikuwa ukweli ule?
Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.

Kama una asili ya kiarabu kampambanie kwingine
 
Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.

Kama una asili ya kiarabu kampambanie kwingine

umenena ukweli maana waarabu wanajiona kama mungu ndio kawapa dunia.
nilikosa mke kisa mimi mweusi na kuniita mtumwa
 
Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.

Kama una asili ya kiarabu kampambanie kwingine
Sisi tunawafahamu watu kama wewe, hilo Uarabu ni geresga tu, nyinyi manchukia Uislam na Waislam kwa kujazwa ujinga tu.

Hamtusumbui, tunafahamu ni ujinga wenu tu "ignorant s".
 
Naona Profesa anapoteza sifa ya impartiality anapofanya udadavuzi. Ukweli rahisi ambao amekuwa akiuzunguka na kuupaka mafuta ni kuwa Wazungu, waarabu na wafanyabiashara weusi wote walifanya biashara ya utumwa,sema kila mtu alikuwa na segment yake kwenye ile supply chain ya watumwa. Ushahidi ni kuwa waarabu mpaka sasa wanafanya biashara ya utumwa kama ambavyo wazungu nao wanafanya, na mawakala wao ni watu weusi kama wewe.
 
Faiza mimi nina asili kama ya huyo mtu kwenye dp yangu ila mwarabu hajawahi kupendwa kwetu tunamchukia kinyama yani tena waziwazi.

Kama una asili ya kiarabu kampambanie kwingine

Usiseme kwetu,, "jiseme wewe"

Tangu uwachukie waliokupita kila kitu umefaidika na nini?
 
umenena ukweli maana waarabu wanajiona kama mungu ndio kawapa dunia.
nilikosa mke kisa mimi mweusi na kuniita mtumwa

Mnaumia na kuteseka ndani kwa ndani,,,hiyo video imewaumbua kweli kweli enyi wagalatia.

Kwa taarifa yako, waarabu huwafikii hata robo ya utu, ukarimu na roho nzuri waliyonayo. Sio kama nawatetea, ukweli ndio huo ewe naswara/yahudi.
 
Bibi faiza ajuza kakutana na shaibu mudi.

Wanajaribu kupambana na ukristo mfumo ambao ndio uliwapa maisha ya kuutusi huku mitandani absurd.

Mkiona hii nchi imewashinda na hakika imeeashinda hamieni kwa wavaa kobazi wenzenu huko Afghan.

Historia haiwezi badilishwa kwa mihemko yenu na chuki za kinafiki.


#MaendeleoHayanaChama

kama hujui waisilamu ni wengi basi fanya research uone,,

Mheshimiwa rais akiamua kufanya sensa ya dini utakimbia nchi ewe mgalatia/yahudi mweusi.
 
Kwani hilo neno kafiri ukisema mpingaji unapungukiwa nini kama si utumwa au ukitamka kwa kiarabu unapata thawabu?![emoji23]
Nyumbu kuelewa ni kazi ngumu Sana mkuu yaani wavaa kobazi wakisikia mwarabu huja juu Kama wanavyo wahi kula daku
 
Haki ipi ya kuongea kiarabu badala ya lugha yako halisi na kuvaa kama mwarabu ama kweli mtawatambua kwa matendo yao,mimi najiona bora kuliko mwarabu.
Na wewe haki yako uongee kama mzungu na kuvaa kama mzungu? Kabila gani wewe?
 
Mnaumia na kuteseka ndani kwa ndani,,,hiyo video imewaumbua kweli kweli enyi wagalatia.

Kwa taarifa yako, waarabu huwafikii hata robo ya utu, ukarimu na roho nzuri waliyonayo. Sio kama nawatetea, ukweli ndio huo ewe naswara/yahudi.

kweli nimeumia kwa kuwa nakuta maandishi ya quruani ya kiarabu mkasema ni mcharazo wa waarabu
 
Back
Top Bottom