Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Usiku n mkubwa sanaaa.
Dah nitaitizama tena labda naweza mwelewa prof na watangazaji juu ya uchoraji
 
Sasa si vyema ungesema kipi nilichosema hakipo kwenye hiyo video? Tofauti na wewe, sijawahi kukataa kusahihishwa.

Amandla...
Sema wewe umekiona nini? Mimi unikosoe kwani kwenye video uliniona mimi mule?

Very simple, sema ulichokiona kimoja amabacho unacho mbadala wake, halafu tuone kuwa hicho umekiona peke yako au tumekiona wote, kama upo sahihi kwanini usiwe sahihi. Jimada lako lirefu halijagusia hata kimoja kilichomo kwenye video.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Sema wewe umekiona nini? Mimi unikosoe kwani kwenye video uliniona mimi mule?

Very simple, sema ulichokiona kimoja amabacho unacho mbadala wake, halafu tuone kuwa hicho umekiona peke yako au tumekiona wote, kama upo sahihi kwanini usiwe sahihi. Jimada lako lirefu halijagusia hata kimoja kilichomo kwenye video.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Wewe ambae haukusomea ujinga si unielimishe wapi nimepotosha? Nahisi haujaiangalia video yaenyewe na haujasoma nilichokiandika. Wewe ulipoona muarabu anazungumza basi ukaona ana hoja bila hata kumsikiliza.
Mimi nimeelezea nilichoona kuwa ni mapungufu katika maelezo yake. Sasa wewe ambae Mwenyezi Mungu amekujalia akili kuliko mimi niambie wapi nimekosea? Au shida ni kuwa hauwezi kusoma zaidi ya paragraph moja iliyoandikwa na mmisheni bila kupata kichefuchefu?

Mimi niliyesomea ujinga,

Amandla...
 
Ukiona mtu anakuja na matusi ujuwe umemshinda hoja. Sikushangai.

Wewe umeiona video?

Hizo porojo alizopiga ndizo zimenifanya niseme kuwa hajaitazama video. Wewe punguani wahed, wewe ndio wakili wake wa kumsemea huyo poyoyo mwenzako?? Au ni mkewe?

Sasa jibu wewe umeitazama video kwenye post namba 1 au unabwekea hewa tu?
Unamsema mtu kwa kuja na matusi halafu unamuita mwingine poyoyo kwa sababu tu ametofautiana na wewe!

Amandla...
 
Mb zimepanda.... Toa tu maelezo tutachangia... Ila kama mada video inahusu biashara ya utumwa kwa waabu na hyo video inatetea waarabu hawajafanya biashara ya utumwa.. Itakuwa wewe na huyo alioandaa documentary ni wajinga wote...

Watu kama ninyi nawachana laiv,,,hakuna mnachokijua ni watu ambao mnapelekwa pelekwa tuu hamjui chochote masikini ya mungu, ni wakuonea huruma. Vyovyote vile ujumbe umewafikia. Allaah amjaalie afya njema mzee wetu, na ampe umri mrefu.


Hawatakuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka mfuate mila zao 👈🏾
 
Unaendekeza sana udini, kama una elimu basi ni buew kabisa.

Wenzako wanajifunza kupitia elimu dunia na kugundua walikuwa shimoni, wewe unakuja kuleta ujinga mliouandaa na wajomba zako kwa kigezo cha utumwa!.
 
Umeiona video na umeilewa maudhui yake au umeamua kubwekea hewa tu?

Hawa wanazuoni wako na vitabu vyao nimeanza kuwafuatilia zaidi ya miaka saba iliyopita. Kama wewe ndiyo umeanza kuwasikia sasa endelea kujifunza ujinga wao.
 
Unaendekeza sana udini, kama una elimu basi ni buew kabisa.

Wenzako wanajifunza kupitia elimu dunia na kugundua walikuwa shimoni, wewe unakuja kuleta ujinga mliouandaa na wajomba zako kwa kigezo cha utumwa!.

Acha kulialia,
 
Huyu madame anatudhalilisha tu watu wazima wenzie humu.

Halafu you told me eti sina mume, are you lesbian, peleka mapepo yako huko.

Ungetufundisha kupika kalumati rather than huo utopolo.

Waarabu walimnunua Yusufu one of Israel's, nini hujui kwani.
 
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.

Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.

Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...


Hiyo aya yako ya mwisho inaonyesha mjinga zaidi ni wewe mfuasi wa marehemu mudi
 
Unaonesha hujaitazama video wala hujaielewa maudhui iliyopo. Usiwe mvivu wa kuhipatia elimu, ukishaipata halafu amua uichukuwe au ukatae, sio kabla.

Hiyo video nimeitazama mwanzo mwisho.

Msimamo wa huyo Profesa na huyo mwandishi anayemhoji ni mmoja na unamaudhui ya kupinga kuwa Ati waarabu hawakuhusika kusafirisha Watumwa kutoka bara kwenda Pwani.

Alafu kuna wakati wanajichanganya tena Kwa kusema Kama walifanya basi ni kidogo😄😄😄

Sasa watupe hoja zao Waarabu waliopo Tabora, Kilosa Hilo Morogoro, kigoma na vizalia vyao walitokana na nini.
Maana miaka hiyo Maeneo hayo yalikuwa sio Mimi labda huko ujiji Kigoma.

Kusema Waarabu walihusika kwenye biashara za kuuza Watumwa wakiwanunua Kwa Waswahili huko barani kisha kuwasafirisha haimaanishi tuna chuki nao bali ndio Biashara kubwa ya kipindi Hilo

Mwambie huyo Profesa akasome tena kisa cha Waishimael waliokuwa wakinunua Watumwa wakiwauza Maeneo mbalimbali ikiwemo Misri, mhanga wa Jambo Hilo hata wewe unamjua anaitwa Yusuph, si unamjua?

Unawatetea Waarabu Kwa kisingizio cha udini🤣🤣 Bibi Acha hizo bhana.

Mbona Wakristo hawawatetei Wazungu kwenye mabaya Yao ya ukoloni na mambo mwingine?

Wewe ndio umesomea ujinga Kwa kuukataa ukweli.

Huyo Profesa anasema ati HAO Watumwa waende Uarabuni kufanya nini?😄 Ameacha kujadili Kama msomi na mtaalamu anajadili kishabiki Kama wahuni wa vijiweni.

Yeye anachojua kuwa Watumwa kazi zao ni ngumu tuu, za kwenda shambani na migodini au viwandani🤣🤣

Hajaelezea maelfu Kwa maelfu ya Watumwa waliokuwa wanaenda huko uarabuni kugeuzwa Watumwa wa kazi za ndani na kuhasiwa, huitwa matowashi,😄😄

Hii mpaka Leo wapo maelfu Kwa maelfu ya wanawake na mabinti hupelekwa huko uarabuni na kuna AGENCY mamia Kwa kazi hizo.
Lakini hakuna mambo Kama hayo barani Ulaya.🤣🤣

Anazungumzia Nchi za Carribbean, sijui Brazil, Mexico na Agentina kuwa na wingi wa Waafrika akiichukulia Kama utetezi wa hoja yake kuhusu biashara za UTUMWA zilifanywa zaidi na Wazungu.

Kwenye biashara anashindwa kuelewa kuwa kuna muuzaji na mnunuaji😄😄
Wauzaji wa Watumwa walikuwa ni Waarabu na kidogo Waswahili, wanunuzi walikuwa Wazungu Kwa jamii zao.
Sasa utasema Kati ya muuzaji na mnunuzi Nani anafanya biashara.

Hivi wewe ukienda Kwa Mmasak au Mgogo kununua NG'OMBE, Kati ya wewe na muuzaji Nani anafanya biashara ya NG'OMBE?😄😄

Profesa wako mwambie aache kujadili mambo Kihuni badala Yale ajadili kitaalamu.

Yeye kaamua kuchambua kimrengo wa Kusini, tangu wanaanza kusalimiana tayari ilishaonekana wangejadili kitu gani.

Mjadala Kama huo wangetafuta mtaalamu mwingine hapo hapo ili a- criticise sio watu wajadili katika mrengo mmoja alafu wewe unahitimisha kama mjinga.
 
Kusikiliza au kuelewa jambo ukashindwa kulieleza Kwa wengine Kwa ufasaha napo ni aina ya tatizo.

Kama Mada ililenga wenye bundle pekee, video ingewekwa huko kwenye mitandao maalum kama YouTube n.k
 
Nenda mwana kwenda. Hiyo hodi uliipiga saa ngapi hata sasa uipige "kwaheri".
Kwa uandishi wako humu jamvini wewe kikongwe unaona una-suffer depression, una stress sana wew mfia dini ya mfu mudi
 
N
Huyo ni mwandishi wa Tanzania na propaganda za kidini..
Bahati mbaya hii video ina udini...kwa namna moja ama ingine kuna uteteaji mkubwa wa mwarabu kwenye biashara ya utumwa....jumba bovu lote anadondoshewa mzungu na mbantu.

Kwa kweli wacha tu shule niwe nimeenda kusomea "ujinga" ila hio mada ya huyo professor imegoma kabisa kuingia kichwani..

Najaribu kutathimini haya maisha ya mwarabu wa sasa yanasadifu kwa asilimia nyingi sana na mwarabu wa enzi za utumwa niliyo someshwa darasani.

Kwangu itabaki hivyohivyo

Biashara ya Utumwa na Waarabu ni kama na 'uji na mgonjwa'..
Waliasisi hii biashara zamani sana na wanaiendesha hadi leo hii..



Ni nchi gani ya kiararabu walidaiwa fidia ya utumwa na nchi gani za ulaya nazo zilidaiwa
 
Back
Top Bottom