Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema wewe umekiona nini? Mimi unikosoe kwani kwenye video uliniona mimi mule?Sasa si vyema ungesema kipi nilichosema hakipo kwenye hiyo video? Tofauti na wewe, sijawahi kukataa kusahihishwa.
Amandla...
Wewe ambae haukusomea ujinga si unielimishe wapi nimepotosha? Nahisi haujaiangalia video yaenyewe na haujasoma nilichokiandika. Wewe ulipoona muarabu anazungumza basi ukaona ana hoja bila hata kumsikiliza.Sema wewe umekiona nini? Mimi unikosoe kwani kwenye video uliniona mimi mule?
Very simple, sema ulichokiona kimoja amabacho unacho mbadala wake, halafu tuone kuwa hicho umekiona peke yako au tumekiona wote, kama upo sahihi kwanini usiwe sahihi. Jimada lako lirefu halijagusia hata kimoja kilichomo kwenye video.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Unamsema mtu kwa kuja na matusi halafu unamuita mwingine poyoyo kwa sababu tu ametofautiana na wewe!Ukiona mtu anakuja na matusi ujuwe umemshinda hoja. Sikushangai.
Wewe umeiona video?
Hizo porojo alizopiga ndizo zimenifanya niseme kuwa hajaitazama video. Wewe punguani wahed, wewe ndio wakili wake wa kumsemea huyo poyoyo mwenzako?? Au ni mkewe?
Sasa jibu wewe umeitazama video kwenye post namba 1 au unabwekea hewa tu?
Mb zimepanda.... Toa tu maelezo tutachangia... Ila kama mada video inahusu biashara ya utumwa kwa waabu na hyo video inatetea waarabu hawajafanya biashara ya utumwa.. Itakuwa wewe na huyo alioandaa documentary ni wajinga wote...
Wewe acha watu wajadiliIn shaa Alla hiyo damu isikutoke wewe wala mwengine. Tuombeane dua njema.
Allah akusameh na atusameh sote.
Umeiona video na umeilewa maudhui yake au umeamua kubwekea hewa tu?
Unaendekeza sana udini, kama una elimu basi ni buew kabisa.
Wenzako wanajifunza kupitia elimu dunia na kugundua walikuwa shimoni, wewe unakuja kuleta ujinga mliouandaa na wajomba zako kwa kigezo cha utumwa!.
Tatzo Hawa 'maprofesa' wa kidini...no one takes them seriously
wewe bibi unapenda kuendekeza sana udini udini ... you seems like a hater .... puke
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
Yani Hawa waislam wako radhi hata kubadilisha Historia ili kutetea vipenzi wao Waarabu
Unaonesha hujaitazama video wala hujaielewa maudhui iliyopo. Usiwe mvivu wa kuhipatia elimu, ukishaipata halafu amua uichukuwe au ukatae, sio kabla.
Kwa uandishi wako humu jamvini wewe kikongwe unaona una-suffer depression, una stress sana wew mfia dini ya mfu mudiNenda mwana kwenda. Hiyo hodi uliipiga saa ngapi hata sasa uipige "kwaheri".
Huyo ni mwandishi wa Tanzania na propaganda za kidini..
Bahati mbaya hii video ina udini...kwa namna moja ama ingine kuna uteteaji mkubwa wa mwarabu kwenye biashara ya utumwa....jumba bovu lote anadondoshewa mzungu na mbantu.
Kwa kweli wacha tu shule niwe nimeenda kusomea "ujinga" ila hio mada ya huyo professor imegoma kabisa kuingia kichwani..
Najaribu kutathimini haya maisha ya mwarabu wa sasa yanasadifu kwa asilimia nyingi sana na mwarabu wa enzi za utumwa niliyo someshwa darasani.
Kwangu itabaki hivyohivyo
Ni nchi gani ya kiararabu walidaiwa fidia ya utumwa na nchi gani za ulaya nazo zilidaiwaBiashara ya Utumwa na Waarabu ni kama na 'uji na mgonjwa'..
Waliasisi hii biashara zamani sana na wanaiendesha hadi leo hii..
![]()
Madaktari Uganda wathibitisha Judith kutolewa figo akiwa kwa mwajiri wake Saudi Arabia - BBC News Swahili
Madaktari nchini Uganda wamethibitisha kuwa mwanamke aliyekuwa akifanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, wamegundua kuwa figo yake ya kulia imeondolewa na sio ajali ya gari kama ilivyoarifiwa awali na mwajiri wake.www.bbc.com