Black American walitokea wapiWapi nimemtetea mzungu? Ushaskia nasema mzungu hajahusika kwenye biashara ya utumwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Black American walitokea wapiWapi nimemtetea mzungu? Ushaskia nasema mzungu hajahusika kwenye biashara ya utumwa?
Hahahahahah, unaniuliza mimi? Hujayaona? Sema ukwli ulichokiona huko au kama hujatazama pia sema ukweli. Usijijaze ujinga kwa kuwa tu ulisomeshwa ujinga.Kwani hayo mapicha anayoyapinga huyo Profesa yanaelezea nini mama sio hiki nilichokisema.
Hapo ishu kubwa ni UTUMWA hizo picha zinaelezea wahusika wa UTUMWA
Prof.uchwara amejaa porojo kama mudi wa saigon.Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.
Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.
Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...
Mwenye chuki wewe, hata video yenye mada hujaitazama umekuja kupayuka hovyo.Punguani wewe mwenye mzigo wa CHUKI moyoni mwako.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
AfricaBlack American walitokea wapi
Sasa hapa nimetetea nini?Una vinasaba na waarabu mbona wakisemwa kidogo lazima uanzishe thread kuwatetea,ebu jaribu kuficha mahaba yako kwa waarabu bibie
👇🏽Mzee mbona hujibu swali langu?
Nlchokuwa naulizia Yani Nini kinafanya kitu kiwe ukweli au uongo...kitu ili kiwe ukweli kinatakiwa kiwe Na vigezo Gani?
Dini yoyote tuMaprofesa wa "kidini" unamanisha wa Kiislam? Au siyo?
Umemsikiliza huyo Profesa wa Kiislam, au unapayuka tu?
Em nielezee bas kidogo mkuu👇🏽
Wewe sikiliza hiyo video, acha maneno mengi.
Ninyi wafuasi wa marehemu ndo mna ujinga sana ndani yenu.Sasa hapa nimetetea nini?
Sio vinasaba tu, kumbuka mimi ni Muislam. Msitake kucheza na maneno, tunfahamu mkisema "Mwarabu" mnamaanisha Muislam, na mkisema Mswahili hali kadhalika, wakuja mna ujinga wa asili.
Nnaamini kuwa watu kama wewe mna ujinga wa asili, wa vinasaba, mkaongezewa na ule mliojazwa nao, matokeo ni ujinga double.
Mada umeiona? Au mada imekuwa nzito kwenu mnataka kuubadili mjadala kwa ujinga wenu tu.Ninyi wafuasi wa marehemu ndo mna ujinga sana ndani yenu.
Kama mtume wenu marehemu mudi alikuwa mjinga hajui kusoma wala kuandika na akaanzisha imani ya kijinga ikapata wafuasi, tuwape jina gani wafuasi wa marehemu mjinga? Bila shaka nanyi ni WAJINGA.
Em nielezee bas kidogo mkuu
Kikishashiba futari kinakuwa na genye kweli hicho kibibiBibi wa Kariakoo anamwaga mashushu si mchezo.
Mi siondoki hadi mtoane damu hapa.
Kumbe mnaujua ukweli kuwa uislam ni dini ya waarabu nyie waswahili mmedandia tuu treni kwa mbele,mmekataa mila na desturi za mababu zako wakiafrica na ww unajiona mwarabu[emoji706][emoji706]Sasa hapa nimetetea nini?
Sio vinasaba tu, kumbuka mimi ni Muislam. Msitake kucheza na maneno, tunfahamu mkisema "Mwarabu" mnamaanisha Muislam, na mkisema Mswahili hali kadhalika, wakuja mna ujinga wa asili.
Nnaamini kuwa watu kama wewe mna ujinga wa asili, wa vinasaba, mkaongezewa na ule mliojazwa nao, matokeo ni ujinga double.
Na ww mpaka uache kufuata mila za waraabu ndio utakuwa na akiliMada umeiona? Au mada imekuwa nzito kwenu mnataka kuubadili mjadala kwa ujinga wenu tu.
Hautatia akili mpaka uache kuwaabudu wazungu, wewe ukiambiwa Yesu ni Mwafrika utang'ka.
Pole sana Faiza ,nasikia upo kwenye HEDA...🤣🤣🤣😃😄Hiyo mada siyo yangu, mimi nimeileta humu kwa faida ya wengi. Pengine hata wewe ulisomeshwa kwa kukajazwa huo ujinga shuleni. Hayo yametukumba sote. Profesa Noor kayastukia na anayabainisha hapo.
Nakushauri itazame video uone ulivyojazwa ujinga.