Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Aaah Uislam ni Universal, hauna mwenyewe. Unajua kuwa hao wote uliowataja ni wachache sana "minority" kwenye Uislam?

Kama haitoshi, unasema Wachafu Waislam ambao dini yao inahimiza usafi. Wanaotawadha kwa uchache kutwa mara 5?

Wewe utashinda usafi upi na Waislam? Unatawadha kutwa mara ngapi? Nna uhakika wewe hata ukienda haja hujisafishi kwa maji, bisha! Sasa utashindana na Muislam ambae awe wakike au wa wakiume, mtoto au mkubwa, anaamrishwa kutumia maji kila akienda haja, iwe ndogo au kubwa? Usafi upi wa ziada ulio nao wewe?

Hao watu uliowataja huo uchafu wao uko wapi, watu wanaojukua kujifukiza hao kwa maudi na maubani utashindana nao wewe usafi? Usitake kunchekesha sasa hivi.
Mmmh utumwa mbaya sana!
 
Nenda katazame, kama zipo utaelewa namna ya kuzifungua. Tena maudhui iliyokuwepo huna haja hata ya kusikia ni mapicha picha yanajielezza yenyewe.
Nimeangalia sijaelewa...inahusu Nini?
 
Mwingereza huyo huyo aliesema alimtuma Karl Peters kuja kueneza propanda za udini kwa niaba yake amzushie TippuTip.

Haya mzungu muongo nani aliemwekea TippuTip sanamu kama mfanyabiashara maarufu wa utumwa Zanzibar.
Karl peters alikuwa mjeruman kama skosei mkuu.
 
Wafuasi wa mohd
Nyongo...
Mimi nani hata niwe na wafuasi?

Nilichokifanya mimi ni kuandika historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na watu waliposoma wakaniamini kuwa nilichoandika ni kweli na kile kilichokuwa kimeandikwa kabla yangu zilikuwa propaganda.

Watu wengi walikubaliana ni kitabu changu halikadhalika vyuo vingi Marekani na Ulaya vinavyosomesha African History kama somo wanakisomesha kitabu hiki.

Ikiwa unataka kumuorodhesha mtu yeyote aliyekataa historia rasmi itakubidi uorodheshe pia vyuo vikuu, taasisi za utafiti baadhi wamenialika kuzungumza kwenye vyuo vyao.

Haliadhalika itakubidi uorodhesha TV na FM Stations nyingi ambazo zimenitafuta na kufanya mahojiano na mimi.

1651930816918.png
 
Bibi faiza ajuza kakutana na shaibu mudi.

Wanajaribu kupambana na ukristo mfumo ambao ndio uliwapa maisha ya kuutusi huku mitandani absurd.

Mkiona hii nchi imewashinda na hakika imeeashinda hamieni kwa wavaa kobazi wenzenu huko Afghan.

Historia haiwezi badilishwa kwa mihemko yenu na chuki za kinafiki.


#MaendeleoHayanaChama
 
Bibi faiza ajuza kakutana na shaibu mudi.

Wanajaribu kupambana na ukristo mfumo ambao ndio uliwapa maisha ya kuutusi huku mitandani absurd.

Mkiona hii nchi imewashinda na hakika imeeashinda hamieni kwa wavaa kobazi wenzenu huko Afghan.

Historia haiwezi badilishwa kwa mihemko yenu na chuki za kinafiki.


#MaendeleoHayanaChama
Huyu faiza ashukuru yupo bongo angekuwa huko kwa wakoloni wake hata uhuru huu wa kukinzana kihoja na wanaume asingeupata zaidi ya kujificha kwenye sunna!
 
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.

Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.

Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...

We mwanamke unatumika hovyo sana. Uliona wapi mhalifu ajisafisha. Hata sasa weusi wengi wanafanyiwa unyama uarabuni. Hovyo kabisa!
 
hayo ya usafi tuyaache utaumbuka
Ntaumbka mimi au umeshaumbuka wewe, kkwa ya udhu tu niliokupa juu hapo?

Haya ya usafi ndio siyaachi hata chembe, labda umesumbuka ndiyo uyaache. Turendelee ya usafi nikuoneshe usafi wa kwenu sasa hivi.

Tena mimi nimeshakwambia juu huko, kuwa hata ukienda haja hujuwi kujisafisha unaondoka na najisi. Kataa hayo. Anza nikuwekee uchafu wenu kutoka ndani ya biblia. Kama hujaikana leo Biblia.
 
Ukhti, unapoteza muda wako kubishana na huyu mfuasi wa paulo.
Huyo kasema yeye ni kiziwi, tumhurumie. Masikini, nachukulia kuwa yu mkweli. Tutamfahamisha tartiiiib mpaka ataekewa tu. Kama yu kiziwi atatusoma.

Namshauri akaitazame video ajionee mapicha tu ya kuchorwa ajionee halafu atuambie kaona nini tumfahamishe. Kama yu kiziwi na hajaenda hata kutazama mapicha yaliyomo kwenye video itakuwa kama "tunampigia mbuzi gita".
 
Back
Top Bottom