Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Hahah kitu cha Harman Kardon sio cha mchezo mkuu,mambo ya dick sound tuachie sisi wazee wa kutumia zile gari zetu za sae-40 na subwoofee zetu.Hahahahah sasa Air suspension ya Benz unadhani kitoto πππ sema huwa lina muungurom mtamu sana hilo dude. Kuna jamaa yangu mmoja analo huwa napenda mziki wake tu ndani mziki umejaa kinoma yani very crisp and clean bass!
Huitaji kufunga madumu ya Dicksound.
Kitu 1UR cc 4,600.As-salamu alaykum brazaNimevutiwa sana za zenye design hii.. ni swala la mda mtu..
View attachment 1671560
Hii engine ipo kwenye lexus na ipo pia kwenye majesta.. ila 3UR ni kiboko..πππKitu 1UR cc 4,600.As-salamu alaykum braza
Hi ni lexus lx mkuu?kama ni yenyewe big up sana ni 1 kati gari ninazozitamani sana.
Na nilikua namaanisha lexus ls na sio lx mkuu.Hii engine ipo kwenye lexus na ipo pia kwenye majesta.. ila 3UR ni kiboko..πππ
Napenda hizi gari za chini kwasababu napenda sana kukimbizaNa nilikua namaanisha lexus ls na sio lx mkuu.
Aisee pambana mkuu,wanyonge tutakuja kupewa hata lift mkuu. πππ
Hahah safi sana hizo engine ndizo zenyewe dude linafika mpk 180km/h hata hushtuki,kitu Very smooth.Mambo ya v8 hayo.Napenda hizi gari za chini kwasababu kwasababu napenda sana kukimbiza
Kweli, hata crown athlete sio mbaya maana huwa najikuta 160 chap.. na sioni kama nakimbia.. nikiwa na huyo mnyama πππ.. nitaenda road ya kahama paka chato ... nifanye yangu.. natupia kwanza tyre za michelin hizo za kwao natoaHahah safi sana hizo engine ndizo zenyewe dude linafika mpk 180km/h hata hushtuki,kitu Very smooth.Mambo ya v8 hayo.
HKS niliona wana complete Supercharger kit yake ni hatari mzee baba.
Ukiwa na haya magari unatakiwa uwe well informed.Kuna mtu alinunua Jaguar x-type naona kalipaki sasa hivi anasema Transfer case imezingua.
Kama x-type tu shughuli,sijui vipuri kama vya XJ kama bei itashikika.
Hahah hivi mkuu wanawake hua wanajua tofauti ya magari au wakionaga benz na vitz wanaona tu gari ni gari?Hahahahah mzee ball joints mtu lazma anajipanga π maana gharama ya gari lake zima ni sawa sawa na Airmatic set ya kwenye benz
Nakubali mkuu,la sivyo utalipaki mapema tu.Ukiwa na haya magari unatakiwa uwe well informed.
Hahah enjoy the ride mkuu,maisha ni haya haya tu.Kweli, hata crown athlete sio mbaya maana huwa najikuta 160 chap.. na sioni kama nakimbia.. nikiwa na huyo mnyama πππ.. nitaenda road ya kahama paka chato ... nifanye yangu.. natupia kwanza tyre za michelin hizo za kwao natoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah zama kwenye benz walau S550 ukipata ya 2015 mwake sana! Kama kweli upo serious na mjerumani.
Tule tu Subaru Impreza sijawahi kukapenda, kana uso umekaa kama slay queen kafumaniwa na shemeji. Bora hata zile model za 2013 atleast ziko utamu.
Msiwe wanyonge mkuu,mnaweza hata kujadiliana khs tamthilia ya sultani mkuu,ππππ natania.Sie tusiokuwa na magari tunakua watazamaji tyuuuh.
Zikishajaa Benzi bongo, mafundi na spares zitajaa.Duh sasa Subaru nazo zishakuwa kama IST...kuna vile vi imprezza cc1500 vimeingia kibao,hizi Forrester XT nazo zimekuwa jezi. Kifupi gari ikikubalika na ikiwa bei ya kati 10-20m zitajaa tu hapa dawa yake uingie kwa magari ya mzungu ndio mtakuwa wachache ingawa na huko nako watu woga umeisha wanajilipua.
Kuhani Noah
Nitajie SUV 3 za 3.5L zinazokupa 301 hp.Ila ili uzipate hizo 301HP si lazima u slam gas pedal mkuu? Utajikuta unarudi kule kule kwenye gas guzzler.
Wakati hata 3.5L tu inakuwa very smooth kuipata hio 301HP.
ishi nayo tu chief
Nissan 350ZNitajie SUV 3 za 3.5L zinazokupa 301 hp.
Umenimisi eeh πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema mwana una ngebe kinoma mshikaji wangu
Hii kwa road heshima itaongezeka zaidi.. sipendagi ligi ila huwa nakimbiza sana gariishi nayo tu chief