Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

1.Mombo-Same...pia kuna kipande fulani kutoka Kabuku kwenda Segera sio kibaya sana.
2.Gari gani hizo zinasemwa?

Hio ya kusema barabara mbili tu zinakupa 170kph au zaidi kwa dakika nne umepima gari zote Tanzania?
Kile kipande cha same to njia panda kinaangusha magari balaa maana kimenyooka halaf upepo mkali mru akikimbia anaona kama amesimama
 
Kumbe ulipewa lift, gari hiyo harrier nayo inatembea tu fresh sema kwakuwa ni lift lazima uvumilie, barabara ya moshi nnazoefu nayo sana ila hadi leo gari ninayoipigia salutu ni fortuner, japo sijawahi endesha gari ya tofauti kutoka kampuni ya toyota zaidi ya subaru na mitsubishi
Nachoipendea Subie bana ukitaka kuichanganya papo kwa papo kitu twende tu.
 
Mzee acha utani RRONDO mimi nimeendesha zote na kwa bahati mm ni dereva sio leaner hivyo najua nnachoongea
Na mimi ni dereva sio learner hio Fortuner haina mwendo wa kuisumbua Subaru labda ile imprezza non turbo ya cc1500. Hizo Fortuner,Prado za diesel huwa nazitandika nitakavyo na gari ya cc2000 tu, Kwanza haziko stable(unaweza usinielewe)
 
Naona mkuu Mshana Jr alikuwa anatesa na Discovery alikuwa anatesa tuu


Lakini rafiki yangu yeye alikuwa anaogopa racing sijui pindi anapokutana na semi limeivaa alikuwa anapaki pembeni au maana kuna bus BM Coach ilituovertake ni balaa lile bus linakimbia jamani huo upepo wake Sasa sijui Extrovert alikuwa anasemaje katika hili
 
Back
Top Bottom