Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Msiba wa mwanachama wa CHADEMA, Ally Mohamed Kibao, huko mkoani Tanga, uligubikwa kuwa na hali ya sintofahamu baada ya waombolezaji kumkataa Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni, na kumtaka aachie ngazi.

Tafrani hiyo ilisababisha Waziri kusitisha dua yake kwenye shughuli hiyo ya mazishi mpaka pale Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwataka watulie na wasikilize hotuba yake.
Soma zaidi:
==>CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
==> Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
==> Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
==> Kuuawa kwa Mzee Ally Kibao hakutafifisha jitihada za CHADEMA kuikomboa nchi
==> Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuhudhuria mazishi ya Ally Mohamed Kibao jijini Tanga
Yaa i tunge kuwa na Rais serious haikutakiwa hadi leo Masauni, IGP Wambura, Simbachawene na Dg wa usalama kuwepo ofisini hadi leo. Hii nchi inako kwenda siko!!!! Lakini kwa kiburi na dharau ati hadi msibani wana kwenda watuhumiwa.
 
Afadhali wananchi wanaanza kuamka, kuwa na uchungu na haya yanayoendelea. Mwanzo mzuri, huyo kaka aliyesimama nyuma ya Masauni ni shujaa. Kasimama anapiga makofi na kusema Masauni atoke, Masauni kamgeukia nyuma. Kaka hana habari anaendelea na harakati zake. Safi kwenye haki hakuna kuogopa mtu.
 
safi ndugu zangu wa Tanga. ningekua familia ya marehemu ningemuambia hadharani Masauni na wasenge wenzake wa serikalini waondoke wasishiriki watuachie msiba wetu. mmuue mtu kisha mjidai kuja kushiriki maziko..huyo Masauni kwani hajui wauaji unafikiri? sa100 ni muuaji na vibaraka wake wote.
 
Kelele zimeibuka baada ya waziri wa mambo ya ndani Hamad Masauni akihutubia msibani kwa mzee Ali Mohamed Kibao baadhi ya waombolezaji wakipiga kelele wakimtaka Masauni kujiuzulu nafasi yake kama waziri wa mambo ya ndani wakis
hindwa kudhibiti matukio ya utekaji na ukatili yanayoendelea nchini.
 
Nadikiri katika hili Masauni hakupaswa kugusa eneo hilo la msiba! Ni lazima misimamo kama hii ikaanza kuwekwa hili kuwepo mabadiliko!

Ningekuwa mimi Mbowe Masauni asingeligusa hapo msibani
 
Afadhali wananchi wanaanza kuamka, kuwa na uchungu na haya yanayoendelea. Mwanzo mzuri, huyo kaka aliyesimama nyuma ya Masauni ni shujaa. Kasimama anapiga makofi na kusema Masauni atoke, Masauni kamgeukia nyuma. Kaka hana habari anaendelea na harakati zake. Safi kwenye haki hakuna kuogopa mtu.
Kama serikali haija ondoka na funzo hapa, basi subiri yajayo ambayo yata kuwa yana furahisha zaidi. Yaani watuhumiwa wana kwenda kuomba dua msibani..
 
Back
Top Bottom