Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Naskia Masanja na Bepari la kihaya hawapatani now.
 
Mshana Jr
Huyu jamaa kafa, post yake ya mwisho kabisa kupost instagram ilikua hii... wananchi wameenda kumuongezea R.i.p zake kwenye post hio hio alioandika R.I.P KOBE , r.i.p juu ya r.i.p [emoji87][emoji2357]
nikionaga hizi coincidence nakumbuka sana hii mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…