Mmh.. Vi rendra hii ni zaidi ya coicedenceMshana Jr
Huyu jamaa kafa, post yake ya mwisho kabisa kupost instagram ilikua hii... wananchi wameenda kumuongezea R.i.p zake kwenye post hio hio alioandika R.I.P KOBE , r.i.p juu ya r.i.p [emoji87][emoji2357]
nikionaga hizi coincidence nakumbuka sana hii madaView attachment 1473977
Kweli chief,,walijipanga style ya kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho kubaki hai.Kati ya watatu wa mbele ni Kaunda pekee alieangalia pembeni bado yuko hai
Haya mambo mpaka yanaogopeshaKweli chief,,walijipanga style ya kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho kubaki hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Save this post... Naomba nisitoe tafsiri sasa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]Kwa maana hio tutegemee jamaa wa kulia atakuja kuwa raisiView attachment 1474114
Saved![emoji850]Save this post... Naomba nisitoe tafsiri sasa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
Kwa maana hio tutegemee jamaa wa kulia atakuja kuwa raisiView attachment 1474114
Bashiru siyo mwenzao au atawatangulia ???
Ngoja nihifadhi hii[emoji848]
[emoji3][emoji3] kwahio ndio imeisha hioHakuvaa suti[emoji1787]
[emoji3][emoji3] kwahio ndio imeisha hio
Ngoja nihifadhi hii[emoji848]
Naskia Masanja na Bepari la kihaya hawapatani now.View attachment 1452403