Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Hivi jamani hakuna mwenye picha ya Lowassa, Kingunge na Sumaye atuwekee hapa?
 
Hiyo ni hali ya kawaida ya maisha

ulitaka hizo picha ziwe sawa na leo?

hata ukipiga nyingine leo kesho itabadilika kulingana na maisha yanavyoenda

Kuna jamaa kaleta picha ya jamaa wa kenya ambao kwa sasa wote ni marais, kapongezwa kuwa anaakili, lakini kasahau tamaduni za Kiafrika toka kwa baba kwenda kwa mtoto bado hipo....picha ni story tu.
 
Dah! we acha kuna picha tulipiga mimi na wadogo zangu 3 na mpwa wangu, katika picha hiyo mimi na mdogo wangu wa kiume na mpwa wangu wa kiume tulivaa shati zenye kufanana na wote tumepata elimu ya kutosha lakini hawa wadogo zangu wawili wa kike ambao nao walivaa gauni sawa hawakumaliza darasa la saba kwa kweli we acha tu.
 
Usisahau mrejesho tafadhali mi nakuonyesha mojaView attachment 390635hawa ni jamaa zangu hapo ni South Africa mwaka 1996 hiyo picha nilipiga mimi huyo wa katikati ni marehemu kwa sasa na hao wengine wako ulaya
1472617262648.jpg
Nimeanza na hii, waliochuchumaa wote bado wapo, waliosimamama wengi wameondoka, kwa wadau wa soka
 
Dah! we acha kuna picha tulipiga mimi na wadogo zangu 3 na mpwa wangu,katika picha hiyo mimi na mdogo wangu wa kiume na mpwa wangu wa kiume tulivaa shati zenye kufanana na wote tumepata elimu ya kutosha lakini hawa wadogo zangu wawili wa kike ambao nao walivaa gauni sawa hawakumaliza darasa la saba kwa kweli we acha tu
Ulimwengu wa roho ndio ulimwengu unaoendesha dunia kwakuwa unajua yajayo kabla yetu sisi na kila tendo maandalizi yake yalikuwa nyuma sasa yanatendeka na matokeo yake ni hapo baadae na hakuna mwenye uwezo wa kubadili chochote kwakuwa tumefungwa ufahamu!
 
Mshana naomba uweke picha uliyopiga na jamaa zako nione
 
Haitofautiani sana
1. Wall meditation unakodolea macho ukuta na huku ukihesabu pumzi
2. Empty meditation unafumba macho na kuhesabu pumzi
Shukran mkuu, unahesabu wakati wa kuvuta au kupumua.? Na je hii ya mshumaa unakua unautazama wenyewe?
 
Usiwe na wasiwasi kama hukuelewa au kama fikra zinakupeleka kwenye ushirikina.... vitu vimgine vinahitaji akili kubwa kuelewa..
Wewe ni mfuasi wa huyo mshirikina na kazi yako ni kutetea mada za huyo mshirikina,yaani wewe ni mpiga debe wa huyo mshirikina,ndio maana kazi yako ni kuwavamia wanaompinga huyo mshirikina wako,usifikiri watu wote wanadanganyika kirahisi kama wewe! Zinduka toka usingizini.
 
Shukran mkuu, unahesabu wakati wa kuvuta au kupumua.? Na je hii ya mshumaa unakua unautazama wenyewe?
Kwenye hali ya kurelax kabisa ukivuta pumzi unahesabu moja ukitoa pumzi unahesabu mbili
Ya mshumaa sijawahi fanya ila unautazama
 
Habari kaka Mshana;

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama mimi sikubaliani na wewe...

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa
Bora hata wewe umefikiria nje ya boksi kuliko wale ambao ni sawa na Sponji wananyonya kila kimiminika bila kufikiria!

Picha uliyopiga miaka 10 au 20 iliyopita unataka iwe inafanana na maisha yako ya leo?

Picha ya group enzi za shule unataka watu wote wawe hai hadi leo?

Kuna watu wanajua kua mada kama hizi ni usanii tu wa kuaminisha watu, ila wanasapoti kama ule mchezo wa karata 3 tu ili asiyejua ndio anatumbukia bila kujijua!!
 
Nineunganisha dot kupitia uzi huu niegundua mengi ambayo Mshana Jr amesema yana elements nyingi za ukweli.

Mimi sikuwai Pigwa picha hadi nikipofika miaka 7 sio kwamba câmara zilikuwa tatizo miaka hiyo coz ni mimi tu katika Familia yetu niliyekosa picha família yetu ilikuwa na uwezo tena mkubwa wakati huo na ndugu zangu wote walikuwa na picha nyingi hadi kuziweka ilikuwa shida.

Nilivyofika sec nikawa na camera yangu so nilikuwa nanunua mikanda na kujifoto cha kushangaza sikuwai kuisafisha iyo mikanda hadi leo sijui imepotelea wapi.

Maisha yangu yamekuwa ya kuogopa camera hadi leo Sina picha za high level chuo hadi family yangu niliynayo sasa sna picha não though mke na watoto wangu wanapicha kibao.

Najiuliza why paspot size nilikuwa natumia ya o level hadi bank wakakataa wanataka nilivyo sasa kwenye sherehe na hafla zenye kuhusisha camera sitokei tena nikiona camera nakula kona so harusi sijui send off nimezidelete sipendi sababu camera

Marafiki zangu wanaangaika sana kupata picha yangu hata wife aliomba niweke picha sebuleni but nilienda jamaa akanichora ndio nimeweka ukutani

Kifupi ninaalegi na camera sijui ni kwanini nakiona tu umenipiga picha nakuwa na hasira sijui zinatoka wapi hadi iyo picha uifute tena tutagombana
 
Mkuu unaufahamu usio wa kawaida... akili ndogo mara nyingi huwa hazikuelewi na kuishia kudhani unazungumzia uchawi.

Picha chini inaonesha marais wote wa Kenya, Jomo Kenyatta, Daniel arap Moi, Mwai Kibaki na Uhuru Kenyatta

117881_01_n_20130322150940.jpg
Mkuu unaufahamu usio wa kawaida... akili ndogo mara nyingi huwa hazikuelewi na kuishia kudhani unazungumzia uchawi.

Picha chini inaonesha marais wote wa Kenya, Jomo Kenyatta, Daniel arap Moi, Mwai Kibaki na Uhuru Kenyatta

117881_01_n_20130322150940.jpg
Aseee we nawe n kichwa hataree yan hii picha imeelewesha mada vizur zaid! inaonekana we n msomi sanaa!big up snaaa
 
Back
Top Bottom