Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Bora hata wewe umefikiria nje ya boksi kuliko wale ambao ni sawa na Sponji wananyonya kila kimiminika bila kufikiria!

Picha uliyopiga miaka 10 au 20 iliyopita unataka iwe inafanana na maisha yako ya leo?

Picha ya group enzi za shule unataka watu wote wawe hai hadi leo?

Kuna watu wanajua kua mada kama hizi ni usanii tu wa kuaminisha watu, ila wanasapoti kama ule mchezo wa karata 3 tu ili asiyejua ndio anatumbukia bila kujijua!!
Naona umemkomalia jamaa ili ubebe ujiko kupitia kwake...Siamini kama mmeelewa alichoandika maana ya Picha kuongea hebu rudia mstari kwa mstari ile page ya 1 soma ukiwa na mawazo huru then utaelewa alimaanisha nini Tatizo lenu wadanganyika hamfuatiliagi vitu Deeply... hata kama kitu hukipendi wee soma tu...Kuna kitu utapata hata kama ni 1
 
Bora hata wewe umefikiria nje ya boksi kuliko wale ambao ni sawa na Sponji wananyonya kila kimiminika bila kufikiria!

Picha uliyopiga miaka 10 au 20 iliyopita unataka iwe inafanana na maisha yako ya leo?

Picha ya group enzi za shule unataka watu wote wawe hai hadi leo?

Kuna watu wanajua kua mada kama hizi ni usanii tu wa kuaminisha watu, ila wanasapoti kama ule mchezo wa karata 3 tu ili asiyejua ndio anatumbukia bila kujijua!!
Kweli Clever mambo hayawezi kua sawa milele

Lazima wengine waoelewe, kufariki, kutajirika n.k ni maisha tu ya jana hayawezi kuwa leo tena!

Japo mkuu mshana kasema ni baadhi na inategemea.
 
Nimegundua hili somo ni gumu hasa kwa wale ambao ufahamu wao ni mdogo kwenye ulimwengu wa roho (silawaumu) lakini pia wale ambao wana mzio na post zangu, Wao daima hawana hoja bali kukosoa bila ithibati! Siwalaumu kwakuwa chuki ni sehemu ya mwanadamu hasa akiwa na akili finyu.
 
1472837175838.jpg

Angalia kutoka kushoto nani bado anapumua? Wengine wako wapi? Huu mpangilio nani alijua wataondoka kwa kufuatana?
 
Napata kuamini maana kuna picha ipo hapa home alipiga marehemu mama yangu na wenzake wakiwa kwenye foleni ya kupakuliwa chakula kwenye sherehe cha kushangaza bi mkubwa alipofariki anayemfuata kwenye hiyo foleni nyuma yake naye alifariki mwaka uliofuata.
 
Mshana jr. Kali kuliko zote nimewahi ziona ni mtu kuibiwa kivuli chake, yani hata asimame juani hakionekani.
Hili nimesha wahi liona kwangu kali ni jamaa kuwekwa kwenye sanduku (jeneza) akisubiri kuzikwa ila ni kwa njia ya kishirikina

Ikawa mziki kumrudisha duniani jamaa anakimbilia uvunguni nkasema dunia ina watu

Nyingine ni kulogwa ukimwi, na vipimo kuthibitisha jamaa anao baada ya tiba ukimwi ukapotea
 
Hili nimesha wahi liona kwangu kali ni jamaa kuwekwa kwenye sanduku (jeneza) akisubiri kuzikwa ila ni kwa njia ya kishirikina

Ikawa mziki kumrudisha duniani jamaa anakimbilia uvunguni nkasema dunia ina watu

Nyingine ni kulogwa ukimwi,na vipimo kuthibitisha jamaa anao baada ya tiba ukimwi ukapotea
Magonjwa ya jinsi hiyo ni mengi ambayo huwezi kuyathibitisha kwa vipimo vya kitaalam
 
Hili nimesha wahi liona kwangu kali ni jamaa kuwekwa kwenye sanduku (jeneza) akisubiri kuzikwa ila ni kwa njia ya kishirikina

Ikawa mziki kumrudisha duniani jamaa anakimbilia uvunguni nkasema dunia ina watu

Nyingine ni kulogwa ukimwi,na vipimo kuthibitisha jamaa anao baada ya tiba ukimwi ukapotea
Wachawi wanatumia mzimu wa mtu aliekufa kwa ukimwi...manake unavalishwa mwili wa Mtu mwingine wakwako wanauchukua....Achana na wachawi kwenye Shughuli zao wanamaanisha
 
Back
Top Bottom