Nilikuwa naogopa nilianza kuona vitu vya tofauti pia watu walikuwa wananiogopa ingawa walikuwa hajui kama nawatambua kuwa naona vitu vya tofauti ndio nikahisi nimekuwa mchawi.Duu usingeacha iko very powerful..mimi nilianza 1996
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naogopa nilianza kuona vitu vya tofauti pia watu walikuwa wananiogopa ingawa walikuwa hajui kama nawatambua kuwa naona vitu vya tofauti ndio nikahisi nimekuwa mchawi.Duu usingeacha iko very powerful..mimi nilianza 1996
Nina visa vinavyofanana na vyako nitakuja simulia siku mojaNilikuwa naogopa nilianza kuona vitu vya tofauti pia watu walikuwa wananiogopa ingawa walikuwa hajui kama nawatambua kuwa naona vitu vya tofauti ndio nikahisi nimekuwa mchawi.
Jaribu kwanza hizi basics tafadhali ingia hapa meditation in your daily routine kama haifunguki ipate kupitia Google, kukiwa na swali usisite kuniulizaNatamani sana kufanya meditation, mshana nakuomba anzisha group la watsap la mambo haya tutakaopenda utuunge utupe mwongozo wa hilo na mengine najua tupo wengi wenye interest sema muda tunakosa ila kwenye group itakuwa rahisi
Shukrani sanaJaribu kwanza hizi basics tafadhali ingia hapa meditation in your daily routine kama haifunguki ipate kupitia Google, kukiwa na swali usisite kuniuliza
Duh! nimetumia mda sana kuielewa[emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 390631Hakika picha zinaongea, hii ina picha ndani ya picha......akhsante mkuu Mshana
Kama hizo jeans zimegeuzwa!Usisahau mrejesho tafadhali mi nakuonyesha mojaView attachment 390635hawa ni jamaa zangu hapo ni South Africa mwaka 1996 hiyo picha nilipiga mimi huyo wa katikati ni marehemu kwa sasa na hao wengine wako ulaya
InterestingYeah na mashati pia na viatu it was kind of funny
We thought we were having funny but actually we were making memories...picha ya miaka 20 iliyopita
Mkuu mshana jr hebu nisaidie. Mimi tangu zamani huwa sipendi kupiga picha. Na hupiga inaponilazimu; mara nyingi picha za public huwa najifichaficha mradi tu nisitokee. Na nikitokea huwa nakuwa nyuma nyuma, hii ni nini?
oh sorrySad memories somehow
Usisahau kunitagNina visa vinavyofanana na vyako nitakuja simulia siku moja
Ndio naiona sasa loh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]View attachment 390631Hakika picha zinaongea, hii ina picha ndani ya picha......akhsante mkuu Mshana