Watatu wa imani moja wako hai... NkAliyechora hii picha inaonesha dhahiri ana hitilafu na awamu ya 4 na 6
Nilikua na shida nimeshindwa kukupm mkuu
Baba askofu yupo pamoja na mlimbwende wa upande wa kulia, Hawa lazima wafanye jambo Kwa pamoja iwe biashara ama chochote
Hiyo tafsir fikirishi sana. Labda kuna namna
Tafsiri ya hii picha ni kuwa jamaa wa Ukraine ameachwa pekeake
Ooh ok sawaTafsiri ya hii picha ni kuwa jamaa wa Ukraine ameachwa pekeake
Aisee!Wanao kutazama hawapo tena Yanga
Hata huyu naye anasound peke yake .....muda utazungumza[emoji116][emoji116][emoji116]
Hao wengine ni wazee wa miaka mingi yeye ni kijana mdogo inawezekana wengine wote watatoka madarakani atabaki yeye tu.Hata huyu naye anasound peke yake .....muda utazungumza[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2708195
He is alone no one care about him
Amebaki Hassy tu wengine wote wamefarikiKUMBUKUMBU!
Pichani ni Dr. Hassy Kitine, PhD aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS (1978 - 1980) & Hayati Dr. Agustine Mahiga, PhD, Mkurugenzi TISS ( 1980 - 1983) wakiwa na fomu za kugombea Ubunge & Urais ndani ya CCM.
Hayati Jaji Augustino Ramadhani, CJ (2007 - 2010) akiwa na fomu ya kugombea Urais 2015 & Hayati mzee Jecha Salim Jecha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume 'HURU' ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akiwa na fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar 2020.
View attachment 2732199View attachment 2732200View attachment 2732201View attachment 2732202