Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kaka ni kama ile mada yako ukishatambua huyu ni maiti japo hawezi kusema wala kusimama wala kufanya chochote kikawaida anaanza kutishaNadhani ni kujitambua! Woga unatokana na kujitambua kuwa kumbe mimi ndivyo hivi nilivyo katika uhalisia!
Ntajaribu kutoka nje ya mwili nikamcheki kama ntafanikiwa maana mke ndie mshauri mkuu wa mmewe. Ukimkosa huyo ni full kukurupuka.Mmh sijawahi kumuona hata mkewe ila haimaanishi kuwa hana familia
avache avae hedhina mburi[emoji4]Nrewedi kabitha...ni sahihi kabisa sio kwa kila picha bali baadhi ya picha tuu
Huyo sio Uhuru Kenyata bali ni kaka yake anaitwa Muhoho Jomo Kenyata, he play very low profile. Ndiye anayesimamia miradi yote ya Kenyata Family. Hukwepa functions zote ziwe za kijamii au za kiserikali.Mkuu unaufahamu usio wa kawaida... akili ndogo mara nyingi huwa hazikuelewi na kuishia kudhani unazungumzia uchawi.
Picha chini inaonesha marais wote wa Kenya, Jomo Kenyatta, Daniel arap Moi, Mwai Kibaki na Uhuru Kenyatta
![]()
@Mshanajr ni mzushi tu, na mwanga mwanga fulani hivii ! .......hamna lolote katika hiyo picha !Duuuuh! Sasa Mkuu naomba nikuulize,je huchukua muda gani katika kuanza kutimia kwa mambo yaonekanayo katika picha?
Je na mimi nikienda kuchukua picha zangubza zamani na kuanza kuziangalia sasa hivi nikawakuta wote niliopiga nao wameacha shule,je ina maana mm pia nimeacha shule katika ulimwengu mwingine? Hahaha! Nawaza tu kwa mbali!
View attachment 390284 Hapo kuna ukweli mtupu moja wamewahi kuwa mwenyekiti na katibu mkuu
Sasa ndio naelewa kwanini picha, video na audio za Sokoine ni bidhaa adimu. Kumbe vina ujumbe mzito sana wa kuweza kumtoa mtu kwenye usingizi wa pono