Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila atakayejaribu kufanya hivyo lazima atakuja na ushuhuda wa ajabu wenye majonzi furaha au hata mshangao
Hifadhi hii kwa matumizi na kumbukumbu ya siku zijazo
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]usiogope itakuwa salama kwako wala usijali uwe na amani kabisaumenifanya niogope picha za makundi
kuna kijana mmoja alifariki tulipiga picha yeye akiwa katikati tulikuwa watatu na kuna nyingine tumepiga nae selfie tupo kikundi huwa nazitama sana, na kuna mmoja ilitokea tu tukawa tumevaa nguo zimefanana yeye alivaa kaptula ya kijani na tisheti ya kijvu, mimi nilivaa blouse ya kijani na sketi ya kijivu, aisee huwa naziangalia wee naangalia na huyo kijana aliefariki najiuliza sipati majibu, nikirefer na mada yako naanza kusema siku majembe yakianza kudondoka moja mojaa na ameanza yule kijana
Dah... Wote rip [emoji1019]
Jr[emoji769]
Hao waliosimama hapo na waziri mkuu watakuja kuwa watu wakubwa sana..mmoja wapo mwenye skafu atakuja kuwa mtu mkubwa sana kuliko wote kwenye hiyo picha..Hifadhi hii kwa matumizi na kumbukumbu ya siku zijazo
Ngoja nimtag kule twitter [emoji23][emoji23][emoji23]Mshanajr na hii inawezekana [emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 1069202
Aiseee most likely....Mshanajr na hii inawezekana [emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 1069202