Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

mbombo ngafu
tapatalk_jpeg_1563395161515.jpg
FB_IMG_1492544531383.jpg
IMG_20190519_235432.jpg
IMG_20190427_233036.jpg
 
Mshana kitu kingine katika picha hii mchungaji pamoja na kukaa karibu na mtoto na the so called baba ya mtoto bado mkono wake wa kulia umegusa bega la mama mtoto na sio Baba mtoto.
Yeah... So sad...!!!halafu hana pete ya ndoa
 
Uislamu umekataza kupiga picha viumbe vyenye roho. Hukumu ya picha kwa mujibu wa uislamu ni katika madhambi makubwa na ni laana.
Wapi uislam umekataza kupiga picha? Huyo Muhammad aliijua picha? Tasweer aliyosema yeye ni sanamu za kuchonga na kufinyanga. Enzi ya Muhammad picha ilikuwepo?

Picha ina uharam gani?
 
Yaan siku hizi naogopa kupiga picha wengi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom