Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda shule uliyosoma haitokuja kuwa na manufaa kwenye maisha yako. Jaribu mpira au mziki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duuuuh! Sasa Mkuu naomba nikuulize; je, huchukua muda gani katika kuanza kutimia kwa mambo yaonekanayo katika picha?
Je, na mimi nikienda kuchukua picha zangu za zamani na kuanza kuziangalia sasa hivi nikawakuta wote niliopiga nao wameacha shule?
Je, ina maana mm pia nimeacha shule katika ulimwengu mwingine? Hahaha! Nawaza tu kwa mbali!
Myth tu hamna kitu hapoKweli nimeamini Ila unabidi utulize akili zako unapotazama,Kuna Mara mbili ukawa na furaha au kilio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia wamevaa rabaMshana Mada hii imenifanya niangalie picha hii kwa kutafakari sana
1.waliosimama katikati........ 2.waliokenua meno......
Duh ndio waliofariki pamojaView attachment 1338969
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Mada hii imenifanya niangalie picha hii kwa kutafakari sana
1.waliosimama katikati........ 2.waliokenua meno......
Duh ndio waliofariki pamojaView attachment 1338969
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dr shein sio yule wa miaka ya 2000Aliyejitenga keshatengwa.... Lakini baada ya miaka mitatu hii picha inaweza kutuongezea tafsiri View attachment 1339044
Jr[emoji769]
Aliyejitenga keshatengwa.... Lakini baada ya miaka mitatu hii picha inaweza kutuongezea tafsiri View attachment 1339044
Jr[emoji769]
Mtoto aliyefariki ni wa kushoto kwa baba yakeMshana Mada hii imenifanya niangalie picha hii kwa kutafakari sana
1.waliosimama katikati........ 2.waliokenua meno......
Duh ndio waliofariki pamojaView attachment 1338969
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu atende muujiza kwa hizo black suits kabla mwaka huu haujaisha.View attachment 1284048
Usisahau mrejesho tafadhali mi nakuonyesha moja.
View attachment 390635
Hawa ni jamaa zangu hapo ni South Africa mwaka 1996 hiyo picha nilipiga mimi huyo wa katikati ni marehemu kwa sasa na hao wengine wako Ulaya.
Ivi kwenye kitabu chake ben amesema chanzo cha kupoteza nywele zake n nn??View attachment 416627
Hapo Jamaa kamaanisha
Duh hii ilikua wp??Mshana Jr,
Picha zinaongea [emoji125] [emoji125] [emoji125]
View attachment 474241View attachment 474242