Kwa sisi wataalamu wa Fedha huwezi kuita uwekezaji kama hakuna vitu viwili Risk & Return. Sijui kwa kiswahili nisema vipi. Vicoba ni wizi tu maana pesa haiendi kwenye uzalishaji wowote lakini kibaya ukitoa pesa kuna faini. Hivyo Fedha mnaweka bank ambako kuna fees bila riba, hakuna faida yoyote wala riba yoyote pesa inapata.
Wafaidika wakuu ni waanzilishi matapeli ambao wanapeta pesa mwanzoni mfano watu ishirini wenyewe wanapata pesa leo ya watu wote ishirini halafu wale wa mwisho wanapoteza pesa. Jiulize Pesa ya leo hii thamani yake haiwezi kuwa sawa na pesa hiyo ukipata mwaka kesho.
Mimi ushauri wangu ni kuweka pesa yako UTT na mashirika ya hivi badala ya Vicoba ambavyo ni utapeli na wizi mkubwa
www.uttamis.co.tz
Wafaidika wakuu ni waanzilishi matapeli ambao wanapeta pesa mwanzoni mfano watu ishirini wenyewe wanapata pesa leo ya watu wote ishirini halafu wale wa mwisho wanapoteza pesa. Jiulize Pesa ya leo hii thamani yake haiwezi kuwa sawa na pesa hiyo ukipata mwaka kesho.
Mimi ushauri wangu ni kuweka pesa yako UTT na mashirika ya hivi badala ya Vicoba ambavyo ni utapeli na wizi mkubwa
UTT AMIS
UTT Asset Management and Investor Services (UTT AMIS) originated from the Unit Trust of Tanzania (UTT); re-assigned with the management of collective investment schemes from 1st October 2013.
www.uttamis.co.tz